Ndugu wa 'mume' wa Ufoo waja na mapya

Ndugu wa 'mume' wa Ufoo waja na mapya

We jamaa niaje,yaani we huwezi kujipiga risasi mars mbili? Si unajipiga begani ukiona hujafa unajipiga na kichwani unakufa!

Na kweli katika hali ya kawaida mtu hawezi kujipiga risasi mara mbili !!"" kunahitajika kufanyika kitu zaidi ya uchunguzi.
 
Hapa ndipo polisi wanatakiwa kuja na maelezo yasio na shaka hata kidogo kwa kufanya upelelezi makini
 
Ufoo Saro hebu pona haraka usaidie polisi katika uchunguzi wa hili jambo!!! Ila nijuavyo polisi wetu utakuta wako huku JF kupata mawazo ya tunaosema sisi badala ya wao kutumia njia za kiuchunguzi walizofunzwa!!!
 
We jamaa niaje,yaani we huwezi kujipiga risasi mars mbili? Si unajipiga begani ukiona hujafa unajipiga na kichwani unakufa!

nat that simple as you speak,ngoja niagize serenget yng nyingine.
 
Katika Bastola zinazomilikiwa kihalali,
% kubwa zinatumika kwenye issue za malovee zaidi kuliko kuulia majambazi, shame on you owners!!!

Ulinzi binafsi na mali zake/muhusika!!!!!

Sasa hapo kwenye mali zake ndio papana!!!!!
 
Ngoja nimsaidie data...kachanganyikiwa na hizi habari gongana...mpaka zinatia hasira
We haupati hasira kuona leo hl kesho lile na pengine hakuna ukweli kati ya hayo yote...

asante kwa kunisaidia.
Heaven on earth hicho ndo kinanivuruga.

Natamani nijigeuze niwe upepo niingie pale wodini nimkabe ufoo hadi atoe ukweli..
Kova hana jipya.
 
Last edited by a moderator:
Na kweli katika hali ya kawaida mtu hawezi kujipiga risasi mara mbili !!"" kunahitajika kufanyika kitu zaidi ya uchunguzi.
Katika hali ya kawaida ya inteligensia katika tukio hili mushi asingeweza kujiua kabla ya kwanza kuwamaliza adui zake hii ndio theory
Angehakikisha kawamaliza kabisa ndo akajipiga risasi
Lakini katika hali ya kushangaza Saro yeye ndio alitoka nje akiwa na damu kuomba msaada.
Hapa inaonesha Mushi yeye alikua victim
Aliyeponaa ndio mshukiwa hili lipo wazi bila ya zengwe
Huyu mama ndio anahusika kumpiga risasi mumuwe na mamake . Vipi na katika mazingira gani hatujui but inawezekana alitoa bastola kumpiga mushi na mamake alipoingilia naye ikampata na katika kugombea bastola Saro akajeruhiwa.
Mpaka sasa polici hawajesema nani mmiliki wa bastola
 
unadhani ufoo atasema ukweli wote? Hawezi maana Mushi amefariki hakuna atakayempinga tena na hakuna shuhuda mwingine.

Kama ni kusema watasema saana zaidi ya Akina ulimboka na kibanda. Ila siri ya moyoni ipo kwa ufoo, Mushi na Mama Ufoo.Tubwabwaje tu siku za ufoo kupona zitimie.
 
Naisi ilikuwa kama hivi baada ya kumuua mama mkwe wake , akampiga risasi ya begani ufoo na ya tumbo na kumuwekea risasi pembeni ndipo ufoo akaichukua na kumpiga begani kisha kummalizia ya kidevuni.
 
Ninachojua ukishakufa huna lako kwani marehemu hana haki. Ukweli wanaujua hawa wamachame. Mie ngachoka sana na ishu zao. He yani kama alkaida kwa matendo yao? hivi hawa nao ni watanzania kweli au walihamia kutoka iraq na somalia??
 
Katika hali ya kawaida ya inteligensia katika tukio hili mushi asingeweza kujiua kabla ya kwanza kuwamaliza adui zake hii ndio theory
Angehakikisha kawamaliza kabisa ndo akajipiga risasi
Lakini katika hali ya kushangaza Saro yeye ndio alitoka nje akiwa na damu kuomba msaada.
Hapa inaonesha Mushi yeye alikua victim
Aliyeponaa ndio mshukiwa hili lipo wazi bila ya zengwe
Huyu mama ndio anahusika kumpiga risasi mumuwe na mamake . Vipi na katika mazingira gani hatujui but inawezekana alitoa bastola kumpiga mushi na mamake alipoingilia naye ikampata na katika kugombea bastola Saro akajeruhiwa.
Mpaka sasa polici hawajesema nani mmiliki wa bastola

Police walishasema kua mmiliki wa hiyo bastola ni huyo Mushi,uwe unafatili kwa umakini mkuu kabla ya kuchangia,na kuusu ufoo kupona alikimbia nje mushi akiwa hajafa bado maana aliwaambia mafundi seremala kua muuaji bado yupo ndani anatembea sijui kama ndugu zangu wamepona mimi nimefanikiwa kutoloka
 
Back
Top Bottom