Ndugu na marafiki hawataki ufanikiwe ila wakipata shida wanataka uwasaidie au kuwachangia

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,658
4,866
Katika jambo ambalo mimi binafsi linanishangaza ni namna ambavyo unaweza kuta mtu kama ndugu yako, rafiki yako, jirani yako, classmate wako, na mtu yeyote ambaye kidogo mnaukaribu anachukia wewe ukifanikiwa, au anakubania connection, au anakuchongea ufukuzwe kazi, au hataki upige hatua kimaendeleo, au anataka uzidi kuyumba kimaisha.

Lakini mtu au watu wa aina hii wanakufanyia yote haya bila kusahau kuwa wewe upo kwenye circle au mzunguko wake wa maisha, kwamba akipata shida yoyote ile yenye kuhitaji msaada wa watu wengi basi na wewe utakuwemo miongoni mwa watu watakaotakiwa kutoa msaada. Mfano unataka uchangiwe harusi, uchangiwe msiba, uchangiwe matibabu au msaada wowote wa kibinadamu, unakuwa umemuweka mtu uliyembania kwenye wakati mgumu, kwa sababu unaweza kuta bado anateseka mtaani hana namna ya kuweza kukusaidia hata kihisia (emotionally), au kifedha (Financially).

Labda husingembania, au kuchukia kupiga hatua kwake... Uenda angekuwa kwenye nafasi nzuri ya kiuchumi, au kimaisha kiasi kwamba ungekwama kwa namna moja au nyingine basi huyo mtu angekupa backup kubwa kimaisha, mfano kusaidia familia yako, kukusadia wewe kwenye nyakati ambazo umekwama na kadharika.

Hivyo basi tuache kuchukia watu kimaendeleo au kuwabania, maana hao hao muda mwingine hapo badae ndio tutahitaji support yao kimaisha. Saidia watu wanaokuzunguka au waliopo kwenye circle yako ya maisha kadri mkono wako utakapofika bila kujali outcome yake.

Na hivyo ndivyo watu wanavyofanikiwa, maana wanakuwa na backup ya watu wengi, ambapo inakuwa ni rahisi wao kukusaidia pale unapotaka kusonga mbele. Husuda, chuki, na fitina hazitakupeleka popote zaidi ya motoni au kupata karma mbaya, tupendaneni au tusaidianeni mpaka pale mkono wetu utakapofika, hivyo ni rahisi hata kwa uliyemtendea mema kukulipa fadhila nzuri hapo badae.
 
Katika jambo ambalo mimi binafsi linanishangaza ni namna ambavyo unaweza kuta mtu kama ndugu tako, rafiki yako, jirani yako, classmate wako, na mtu yeyote ambaye kidogo mnaukaribu anachukia wewe ukifanikiwa, au anakubania connection, au anakuchongea ufukuzwe kazi, au hataki upige hatua kimaendeleo, au anataka uzidi kuyumba kimaisha.

Lakini mtu au watu wa aina hii wanakufanyia yote haya bila kusahau kuwa wewe upo kwenye circle au mzunguko wake wa maisha, kwamba akipata shida yoyote ile yenye kuhitaji msaada wa watu wengi basi na wewe utakuwemo miongoni mwa watu watakaotakiwa kutoa msaada. Mfano unataka uchangiwe harusi, uchangiwe msiba, uchangiwe matibabu au msaada wowote wa kibinadamu, unakuwa umemuweka mtu uliyembania kwenye wakati mgumu, kwa sababu unaweza kuta bado anateseka mtaani hana namna ya kuweza kukusaidia hata kihisia (emotionally), au kifedha (Financially).

Labda husingembania, au kuchukia kupiga hatua kwake... Uenda angekuwa kwenye nafasi nzuri ya kiuchumi, au kimaisha kiasi kwamba ungekwama kwa namna moja au nyingine basi huyo mtu angekupa backup kubwa kimaisha, mfano kusaidia familia yako, kukusadia wewe kwenye nyakati ambazo umekwama na kadharika.

Hivyo basi tuache kuchukia watu kimaendeleo au kuwabania, maana hao hao muda mwingine hapo badae ndio tutahitaji support yao kimaisha. Saidia watu wanaokuzunguka au waliopo kwenye circle yako ya maisha kadri mkono wako utakapofika bila kujali outcome yake.

Na hivyo ndivyo watu wanavyofanikiwa, maana wanakuwa na backup ya watu wengi, ambapo inakuwa ni rahisi wao kukusaidia pale unapotaka kusonga mbele. Husuda, chuki, na fitina hazitakupeleka popote zaidi ya motoni au kupata karma mbaya, tupendaneni au tusaidianeni mpaka pale mkono wetu utakapofika, hivyo ni rahisi hata kwa uliyemtendea mema kukulipa fadhila nzuri hapo badae.
Mtu mwenye hila hajali lolote. Raha yake ni kuona nia yake ovu inatimia.
 
Katika jambo ambalo mimi binafsi linanishangaza ni namna ambavyo unaweza kuta mtu kama ndugu tako, rafiki yako, jirani yako, classmate wako, na mtu yeyote ambaye kidogo mnaukaribu anachukia wewe ukifanikiwa, au anakubania connection, au anakuchongea ufukuzwe kazi, au hataki upige hatua kimaendeleo, au anataka uzidi kuyumba kimaisha.

Lakini mtu au watu wa aina hii wanakufanyia yote haya bila kusahau kuwa wewe upo kwenye circle au mzunguko wake wa maisha, kwamba akipata shida yoyote ile yenye kuhitaji msaada wa watu wengi basi na wewe utakuwemo miongoni mwa watu watakaotakiwa kutoa msaada. Mfano unataka uchangiwe harusi, uchangiwe msiba, uchangiwe matibabu au msaada wowote wa kibinadamu, unakuwa umemuweka mtu uliyembania kwenye wakati mgumu, kwa sababu unaweza kuta bado anateseka mtaani hana namna ya kuweza kukusaidia hata kihisia (emotionally), au kifedha (Financially).

Labda husingembania, au kuchukia kupiga hatua kwake... Uenda angekuwa kwenye nafasi nzuri ya kiuchumi, au kimaisha kiasi kwamba ungekwama kwa namna moja au nyingine basi huyo mtu angekupa backup kubwa kimaisha, mfano kusaidia familia yako, kukusadia wewe kwenye nyakati ambazo umekwama na kadharika.

Hivyo basi tuache kuchukia watu kimaendeleo au kuwabania, maana hao hao muda mwingine hapo badae ndio tutahitaji support yao kimaisha. Saidia watu wanaokuzunguka au waliopo kwenye circle yako ya maisha kadri mkono wako utakapofika bila kujali outcome yake.

Na hivyo ndivyo watu wanavyofanikiwa, maana wanakuwa na backup ya watu wengi, ambapo inakuwa ni rahisi wao kukusaidia pale unapotaka kusonga mbele. Husuda, chuki, na fitina hazitakupeleka popote zaidi ya motoni au kupata karma mbaya, tupendaneni au tusaidianeni mpaka pale mkono wetu utakapofika, hivyo ni rahisi hata kwa uliyemtendea mema kukulipa fadhila nzuri hapo badae.
Watu wanaogopa ukifanikiwa zaidi yao utawavimbia kuliko mtu wa mbali.

Na pia wakipata shida lazima wakutafute wewe kwa sababu wewe ni mtu wa karibu yao na hawana namna nyingine ya kupata msaada zaidi yako.

Lakini ukae ukijua watakuthamini kwa muda mfupi tu kwenye matatizo yao baada ya hapo wataendelea palepale walipoishia.
 
Katika jambo ambalo mimi binafsi linanishangaza ni namna ambavyo unaweza kuta mtu kama ndugu tako, rafiki yako, jirani yako, classmate wako, na mtu yeyote ambaye kidogo mnaukaribu anachukia wewe ukifanikiwa, au anakubania connection, au anakuchongea ufukuzwe kazi, au hataki upige hatua kimaendeleo, au anataka uzidi kuyumba kimaisha.

Lakini mtu au watu wa aina hii wanakufanyia yote haya bila kusahau kuwa wewe upo kwenye circle au mzunguko wake wa maisha, kwamba akipata shida yoyote ile yenye kuhitaji msaada wa watu wengi basi na wewe utakuwemo miongoni mwa watu watakaotakiwa kutoa msaada. Mfano unataka uchangiwe harusi, uchangiwe msiba, uchangiwe matibabu au msaada wowote wa kibinadamu, unakuwa umemuweka mtu uliyembania kwenye wakati mgumu, kwa sababu unaweza kuta bado anateseka mtaani hana namna ya kuweza kukusaidia hata kihisia (emotionally), au kifedha (Financially).

Labda husingembania, au kuchukia kupiga hatua kwake... Uenda angekuwa kwenye nafasi nzuri ya kiuchumi, au kimaisha kiasi kwamba ungekwama kwa namna moja au nyingine basi huyo mtu angekupa backup kubwa kimaisha, mfano kusaidia familia yako, kukusadia wewe kwenye nyakati ambazo umekwama na kadharika.

Hivyo basi tuache kuchukia watu kimaendeleo au kuwabania, maana hao hao muda mwingine hapo badae ndio tutahitaji support yao kimaisha. Saidia watu wanaokuzunguka au waliopo kwenye circle yako ya maisha kadri mkono wako utakapofika bila kujali outcome yake.

Na hivyo ndivyo watu wanavyofanikiwa, maana wanakuwa na backup ya watu wengi, ambapo inakuwa ni rahisi wao kukusaidia pale unapotaka kusonga mbele. Husuda, chuki, na fitina hazitakupeleka popote zaidi ya motoni au kupata karma mbaya, tupendaneni au tusaidianeni mpaka pale mkono wetu utakapofika, hivyo ni rahisi hata kwa uliyemtendea mema kukulipa fadhila nzuri hapo badae.
NDUGU TAKO? UMEKOSEA REKEBISHA HAPO JUU MHAYA


OTHERWISE, THREAD SUPPORTED
 
Watu wanaogopa ukifanikiwa zaidi yao utawavimbia kuliko mtu wa mbali.

Na pia wakipata shida lazima wakutafute wewe kwa sababu wewe ni mtu wa karibu yao na hawana namna nyingine ya kupata msaada zaidi yako.

Lakini ukae ukijua watakuthamini kwa muda mfupi tu kwenye matatizo yao baada ya hapo wataendelea palepale walipoishia.
Sasa kwa nini wasikuombee mema hilo ukitusua basi uweze kuwasaidia
 
Hata hao wakinga wenyewe bado wapo ambao hawataki wenzao wafanikiwe
Kuna binadamu wanapenda wao ndio wawe juu tu akiona unakuja na unamzidi au utamzidi choko choko ndipo zinapoanza, maneno yasiokuwa na kichwa wala mguu yanaibuka hii ni roho IPO katika makabila yote
 
Back
Top Bottom