Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Pasco umetisha baba...!!!tunahitaji majibu ya hayo maswali...lakini tunamtaka pia Daudi Bashite Halisi ajitokeze,na kama amekufa tupate cheti chake cha kifo.
Wewe sio bure lazima kama sio DAUDI BASHITE MWENYEWE basi una maslahi nae..kwnn tusimuulize elimu YAKE.. kama kiongozi mkubwa aliyepewa dhamana ya kuongoza mkoa anakuwa MUONGO. tutamuamini kwa lipi?VYETI fake...maadili hana ya uongozi ..wanawake wa mjini WOTE wake...na kila analolianzisha anashindwa...alianzisha operation MASHOGA wakati hao ndy rafiki zake.. operation ya MADAWA ya KULEVYA rafiki zake hakuwataja na hata akienda huko south anakuwa nao...operation VYETI fake yeye ndy mtuhumiwa namba moja..kujilimbikizia Mali yeye YUPO.....mambo ya shisha kumbe alikuwa anapewa posho..aliponyimwa mgao akaanza KUPAYUKA ..hii issue ya MADAWA ni marufuku Dunia nzima hakuna anayepinga OPERATION....YEYE..ANGEWAACHIA POLICE NA KITENGO CHA MADAWA...ndio wenye weledi wa kufanya kazi hizo..na sio YEYE....mambo ya maendeleo ya mkoa yanamshinda anaparamia mambo yasiyomuhusu...sisi tunataka watuletee MAENDELEO.. shule hazina walimu...maisha yanapanda ...bidhaa zinapanda BEI hovyo..majambazi yanatisha amani....mambo mengi tu ya kuendeleza inchi hii...au yeye kwa vile VYETI VYA KUUNGA anategemea na watoto wetu pia tuwanunulie VYETI? inashangaza sana..mtuana VYETI fake halafu anaongoza watu wenye wenye VYETI halisi....tena anakomalia kabisa wenzie wapekuliwe VYETI.. Wakati yeye mwenyewe VYETI sio vyake....Hapa hatuna haja ya kumuuliza Makonda maswali yasiyo na msingi. Muhimu ni kuunga mkono kupinga madawa.
Makonda hapa pa madawa ya kulevya amefanya kazi nzuri sana hata kupita Watanzania wooooote.
Kuhusu jina lake???? HAITUHUSU WALA SI MASILAHI YETU.
Letu tunapenda tufukue mambo ya kishetani yote na kuyamaliza kwa nguvu zote.
Pascal MayallaWanabodi,
Hili ni bandiko la Mass Mobilization Kuunga Mkono Juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Katika Vita Hii ya Madawa ya Kulevya Kwa Kuwaomba Ndugu, Jamaa na Marafiki, Wanaomjua Makonda Kwa Karibu, Njooni Tujitokeze Kwa Wingi ,Kumtetea Makonda Tunayemfahamu Dhidi ya Uongo na Uzushi Anaozushiwa na Mapapa Wauza Unga Kupitia Kwa Vibaraka Wao Kumsingizia Ameghushi Majina, Amegushi Vyeti, Amesoma Chuo Kikuu Kwa Chati Cha Kughushi na Mpaka Sasa Anatumia Majina ya Kughushi!.
Tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awaumbue wauza unga wakuu kwa kuwataja majina live, tena bila kupepesa macho wala kumungunya maneno, mafisadi hawa, wapambe wao, makuwadi wa ufisadi na wale wote wasilitakia mema taifa hili, wameanza kampeni ya kumvunja moyo na kumkatisha tamaa Makonda kwa kumzushia kila aina ya uongo.
Sisi tunaounga mkono vita hii, tunamsisitiza akaze uzi na asitetereke, wala asipoteze muda wake wa thamani kujibu uongo wowote wa kwenye mitandao, yeye achape tuu kazi, na majibu ya tuhuma zinazoelekezwa kwake, hazina haja kabisa ya kujibiwa na Makonda mwenyewe bali ndugu zake na marafiki zake wenye nia njema, wanaweza kutusaidia.
Maswali ni haya.
1. Majina matatu ya Mzee Makonda ( baba) ni nani? .
2. Majina matatu ya Makonda (mtoto) aliyoandikishwa Primary pale
3. Alianza Shule ya msingi mwaka gani na kumaliza darasa la 7 mwaka gani? .
4. Baada ya kumaliza la 7 alijiunga na sekondari gani mwaka gani?.
5.Alitumia majina gani matatu sekondari, tukiisha pata tuu majina, tutayaona matokeo yake ya Necta hivyo kuwakata vilimilimi wazushi wote.
6. Alijiunga Mbegani mwaka gani kwa majina gani? .
Majibu ya maswali hayo, yatawakata kabisa vilimilimi wote wanaotaka kumzushia kuwa hakusoma sekondari, alipata Div. 0 na kwamba aliiba cheti cha mtu!.
Ndugu, Jamaa na Marafiki, Tujitokeze Kwa Wingi Kumtetea Makonda Kwenye Vita ya hii ya madawa ya kulevya dhidi ya mapapa wa madawa wanaotaka kumchafua Makonda wetu.
Paskali.
Ndugu yangu Pascal, umesahau kutuambia sisi ndugu na jamaa tumtetee Makonda yupi kati ya hawa watatu, yaani Makonda mwandishi wa habari, Makonda Mkuu wa mkoa au makonda Bushet ChristianWanabodi,
Hili ni bandiko la Mass Mobilization Kuunga Mkono Juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Katika Vita Hii ya Madawa ya Kulevya Kwa Kuwaomba Ndugu, Jamaa na Marafiki, Wanaomjua Makonda Kwa Karibu, Njooni Tujitokeze Kwa Wingi ,Kumtetea Makonda Tunayemfahamu Dhidi ya Uongo na Uzushi Anaozushiwa na Mapapa Wauza Unga Kupitia Kwa Vibaraka Wao Kumsingizia Ameghushi Majina, Amegushi Vyeti, Amesoma Chuo Kikuu Kwa Chati Cha Kughushi na Mpaka Sasa Anatumia Majina ya Kughushi!.
Tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awaumbue wauza unga wakuu kwa kuwataja majina live, tena bila kupepesa macho wala kumungunya maneno, mafisadi hawa, wapambe wao, makuwadi wa ufisadi na wale wote wasilitakia mema taifa hili, wameanza kampeni ya kumvunja moyo na kumkatisha tamaa Makonda kwa kumzushia kila aina ya uongo.
Sisi tunaounga mkono vita hii, tunamsisitiza akaze uzi na asitetereke, wala asipoteze muda wake wa thamani kujibu uongo wowote wa kwenye mitandao, yeye achape tuu kazi, na majibu ya tuhuma zinazoelekezwa kwake, hazina haja kabisa ya kujibiwa na Makonda mwenyewe bali ndugu zake na marafiki zake wenye nia njema, wanaweza kutusaidia.
Maswali ni haya.
1. Majina matatu ya Mzee Makonda ( baba) ni nani? .
2. Majina matatu ya Makonda (mtoto) aliyoandikishwa Primary pale
3. Alianza Shule ya msingi mwaka gani na kumaliza darasa la 7 mwaka gani? .
4. Baada ya kumaliza la 7 alijiunga na sekondari gani mwaka gani?.
5.Alitumia majina gani matatu sekondari, tukiisha pata tuu majina, tutayaona matokeo yake ya Necta hivyo kuwakata vilimilimi wazushi wote.
6. Alijiunga Mbegani mwaka gani kwa majina gani? .
Majibu ya maswali hayo, yatawakata kabisa vilimilimi wote wanaotaka kumzushia kuwa hakusoma sekondari, alipata Div. 0 na kwamba aliiba cheti cha mtu!.
Ndugu, Jamaa na Marafiki, Tujitokeze Kwa Wingi Kumtetea Makonda Kwenye Vita ya hii ya madawa ya kulevya dhidi ya mapapa wa madawa wanaotaka kumchafua Makonda wetu.
Paskali.
Umechoka wewe. Sie wengine ndo tunaona kama ndo kwanzaa unaanza. Bashite Bashite....Tumechoka na humu wimbo wa Bashite,,
Asubuh, mchana,, Alasili na Usiku kila ukiingia humu Jf unakutana na wimbo huu huu wa Bashite.
Alasiri*** amka uende Shule usijetuletea ubashite mwingine.Tumechoka na humu wimbo wa Bashite,,
Asubuh, mchana,, Alasili na Usiku kila ukiingia humu Jf unakutana na wimbo huu huu wa Bashite.
Mmechoka na nani mkuu!?Tumechoka na humu wimbo wa Bashite,,
Asubuh, mchana,, Alasili na Usiku kila ukiingia humu Jf unakutana na wimbo huu huu wa Bashite.
No wonder jamaa yuko karibu na wasanii now days. Fani take ya utotoniHapa alikua anajiiata a.k.a Shite boy