Makonda alitaka kuwajengea hofu Mawaziri wamuogope na kaweza

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,402
72,955
Hakuna cha majina ya wasaliti wala hakuna cha walipa posho kwa watu wa mitandao, bali hiyo ni mbinu ya Makonda kuwaweka kwenye kona mbaya mawaziri wamuogope kuwa ukimfuata fuata anaweza kukusemea chochote kwa "mama yake kipenzi " na huo unakuwa mwisho wako.

Huu mtindo wa kujenga taharuki ni mbinu ya kimafia na nina uhakika amefanikiwa kwani hata Dar aliwahi itumia kwa kina Jafo hadi kutamka kuwa "tunaweza kulingana kwa umri na mkadhani mumenizidi vyeo, ila nimewaacha mbali sana" na wakafyata maana alikuwa na "baba yake kipenzi" wakati huo.

Pia soma
 
Anachokifanya makonda sio kipya. Maana hata marekani miaka ya 1950s kulikuwa na seneta mmoja aliyeitwa Joseph Maccarthy, alikuwa na hizi harakati ambazo zilikuja kujulikana kama MACCARTHYISM AND RED SCARE..
 
Makanda si mawaziri wanao uhenya hata wale wa upande pili wa cham cha jogging club imekua ndio ajenda yao!
 
Kupata bahati kama ya Makonda ni kitu kila mtu anatamani. Baba yako akiwa hai unaenjoy, anakufa alafu Mama yako naye anakuachia unaenjoy sana
 
Back
Top Bottom