Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,710
mnamchafua tu kaka wa watu.kutinda nyusi ni part of grooming...mikaka ya jf inadhani kuwa wachafu wachafu na kunukia kibeberu beberu ndio uanaume!,harris be yourself mwaya....haya maneno hayapunguzi kitu chochote kwako.....ila tu be cautious kwa mtu anayekutinda nyusi mwambie asipunyue sana kama wadada,wanaume zinabaki kuwa nzito kidogo...ndivyo nilivyoona hapa ulaya.
hamna hata mmoja aliyekuinamisha au aliyekuona unainamishwa,,kutinda nyusi doesnt prove you are gay achana nao washamba washamba hawa!!!
hamna hata mmoja aliyekuinamisha au aliyekuona unainamishwa,,kutinda nyusi doesnt prove you are gay achana nao washamba washamba hawa!!!