99% wameelewa hiyo mada,ni wewe tuu na manazi wenzako wa CCM mnajifanya hamjaelewa, ujinga wa CCM umewaingia mpaka mmepoteza akili kabisa
nimeangalia kwenye kamusi eti Zuzu ni jamaa asiyetaka kuelewa jambo.Huyo zuzu achana nae
Kiongozi wa Mihimili katika mitatu ya utawala iliyopo, Mheshimiwa Job Ndugai amesikika akihoji:
View attachment 1986435
Kwamba kiongozi Mkuu wa bunge linalotunga sheria haujui uhuru huo. Labda hata wale vinara wa mihimili mingine nao yawezekana hawaujui na walipo wanashangaa!
Isimfikirishe mtu namna gani kuwa labda hata watunga sheria nao hawazijui na wala hawatambui kama haki hizo zinakanyagwa?
Ama kweli safari bado!NM
Nilisikia hawa ndo wanaitwa mazuzu/mazwazwa
nimeangalia kwenye kamusi eti Zuzu ni jamaa asiyetaka kuelewa jambo.
🤣🤣Haa aliyeelewa hoja ya mleta mada atufafanulie jamani.
Ila huyu mzee Assad anamtesa sana Ndugai