Kiongozi wa Mihimili katika mitatu ya utawala iliyopo, Mheshimiwa Job Ndugai amesikika akihoji:
Kwamba kiongozi Mkuu wa bunge linalotunga sheria haujui uhuru huo. Labda hata wale vinara wa mihimili mingine nao yawezekana hawaujui na walipo wanashangaa!
Isimfikirishe mtu namna gani kuwa labda hata watunga sheria nao hawazijui na wala hawatambui kama haki hizo zinakanyagwa?
Ama kweli safari bado!
Kwamba kiongozi Mkuu wa bunge linalotunga sheria haujui uhuru huo. Labda hata wale vinara wa mihimili mingine nao yawezekana hawaujui na walipo wanashangaa!
Isimfikirishe mtu namna gani kuwa labda hata watunga sheria nao hawazijui na wala hawatambui kama haki hizo zinakanyagwa?
Ama kweli safari bado!