mussamhando
Member
- Feb 17, 2011
- 48
- 6
ndugai anajipendekeza sana utafikiri anakaribia menstruation period!
Kama huna la busara la kuchangia siunyamaze tu kuliko kuandika pumba?
ndugai anajipendekeza sana utafikiri anakaribia menstruation period!
Ndugai amekuwa upinzani since when???????????Atakua upinzani huyo, angekua ccm asingethubutu kukidhalilisha chama chake kiasi hicho
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ndugai anaringia uchawi alioachiwa na mama yake ndo maana anaongea ongea tu kama anaharisha...parokia manake nini!mshenzi sana wa tabia huyu mtu
Nchi hii wafia udini watatumaliza! hivi ni mbunge wa chama gani huyo anaetaja taja Parokia parokia ndani ya Bunge?Naibu Spika Mh.Job Ndugai amempongeza mbunge wa Bariadi Magh Adrew Chenge kwa kuchangia kisomi hotuba ya wizara ya ujenzi, kwa kugusa mambo yenye maslahi kwa nchi nzima na kukemea wabunge wanaochangia kwa kutaja majimbo yao tu au parokia zao."Hawa ndio maseneta wanaochangia kwa kugusa mambo ya ki-nchi, sio wengine wanakuja na hoja za majimbo yao tu au parokia zao. Kila siku parokia, parokia."Je nani analengwa na kauli hii ya Ndugai?
Kapokee buku 7CHADEMA a.k.a1.Wapingaji wa kila kitu2.wajuaji wa kila kitu3.Matusi center4.Vurugu camp5.Maandamano home.Mh,jamani nyie hamnaga hata moja la kuongea positively?Tutaendelea kuwapa majina kulingana mawazo yenu.
Nani???Anamaanisha CHADEMA NI CHAMA CHA KIDINI.