TEC ikemee kauli hii.
Ni km kule Sumbawanga yule bwana alipokejeli Utatu Mtakatifu kwa kuufananisha na Rais, Mbunge na Diwani.
Leo parokia, kesho atataja usharika, usharika usharika, keshokutwa akisema msikiti msikiti msikiti, wale wenzetu hawatamvumilia!
Ni km kule Sumbawanga yule bwana alipokejeli Utatu Mtakatifu kwa kuufananisha na Rais, Mbunge na Diwani.
Leo parokia, kesho atataja usharika, usharika usharika, keshokutwa akisema msikiti msikiti msikiti, wale wenzetu hawatamvumilia!