Ndoto

Ndoto

Aurora

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2014
Posts
7,308
Reaction score
5,275
Za asubuhi mabibi ma mabwana, najua wengine mtakuwa hamjaamka, hivi naweza kupata mtafsiri ndoto hapa JF sababu watu wanasema ndoto nyingi zina maana.

Sitaki kushushuliwa, nimeona hili swala lina fit hapahapa.
 
dreams are vague memories of our thoughts and actions in our past present n future
 
Kuna kitabu cha mwingira ama mzee wa misukule, sina hakika nani kaandika. Kinaelezea maana ya njozi. Kitafute
 
Yeah unaweza pata ila nyngi ziko fake tu, ukiskia mtu hajataja jini, mzimu basi utakuwa na bahati sana ktk ndoto yako
 
za asubui mabibi ma mabwana,najua wengine mtakuwa hamjaamka.....hivi naweza kupata mtafsiri ndoto hapa JF coz watu wanasema ndoto nyingi zina maana.....sitaki kushushuliwa,nimeona hili swala lina fit hapahapa

lin kushushuliwa ndia kukua usiogope, na pia inakusaidia kuwafahamu binadamu vile walivyo, usikasirike usiumie ukishushuliwa
 
Mbona umesahau kuweka ndoto yenyewe.....
utakua umeota ulichokiandika hapo juu.....
 
i might agree with u but 4 this case,i av neva thought/done of wat i dreamt
 
mmh mbona kinantia wasiwasi?mzee wa misukule
 
Tuanzishe ndoto special thread, ninazo za kufa mtu
 
hahahahahaha nikiandika hiyo ndoto si ndio ntapata tafsiri za kweli na uongo hadi kichwa kiniume,huyu yakha ajitokeze aseme mi hapa,na watu wamthibitishe,apate kama referee 3 hivi
 
sawa,ntajaribu kukitafuta,i hope ntakuwa bado naikumbuka ndoto,maana scene za leo zilikuwa za vipande vipande
 
tehe tehe tehe tehe ushauri wako mzuri
 
kwi kwi kwi kwi si hicho nilichokiandika,ndoto yenyewe ilikuwa ndefu sana
 
mmh lazima niwe na wasiwasi coz mtu anaweza kuandika mshushuo hapa hadi ukajiuliza mara mbilimbili ni binadamu ka type haya maneno au robot?
 
kwi kwi kwi sasa ya leo ya tofauti,haina jini wala mzimu,ila ndio nimeota mara niko juu mara niko kwenye maji full vurugu
 
Back
Top Bottom