Njoo kwanguza asubui mabibi ma mabwana,najua wengine mtakuwa hamjaamka.....hivi naweza kupata mtafsiri ndoto hapa JF coz watu wanasema ndoto nyingi zina maana.....sitaki kushushuliwa,nimeona hili swala lina fit hapahapa
nifundishe
nimeshaamka vizuri naweza sasa ivi,asante
za asubui mabibi ma mabwana,najua wengine mtakuwa hamjaamka.....hivi naweza kupata mtafsiri ndoto hapa JF coz watu wanasema ndoto nyingi zina maana.....sitaki kushushuliwa,nimeona hili swala lina fit hapahapa
sina ndoto za kutimiza na Nokia coz nina samsung tayari
tehe tehe tehe basi,nimeshindwa mimi,maana nilitaka kutafsiriwa bure