Tamalisa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 2,542
- 907
- Thread starter
- #21
Kuna wanadamu hasa wanawake wamepewa uwezo mkubwa wa kuota ndoto zenye ukweli.... Mfano mke wangu hata nikimtongoza mwanamke nje asubuhi anatoa ndoto inayoonyesha hayo mazingira japo najitaidi kubisha ila moyoni najua mchezo...Na ndoto zake zimenifanya niwe njia kuu hadi leo.... Pia hata matukio ya hatari yanayoelekea kuikumba familia hasa ya kishirikina anayaota japo mengine tunayatambua baada ya kutokea ila mengi tunayanasa na kuomba huruma ya mungu. Cha kufannya kwa mwotaji ni bora kumwambia mhusika ila kwa kumweleza uhalisia kwamba nimeota ili nafsi imsute na aache njia hizo.
Pia kumueleza ni muhimu sana tena unamueleza kila unapoota, na unamuuliza kwanini naota sana hizi ndoto, hizi ndoto zinaleta wasiwasi zikizidi