Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,943
- 93,868
Kifikirie alaf jioni kiote!
hahahah...dreaming ni unconsious act, la sivyo tungekuwa machizi
Kifikirie alaf jioni kiote!
Fanya maombi tu, kemea roho ya mauti na kuonewa. Usiwachukie hao uliowaona ndotoni. Kazi ya adui ni kuvuruga, anaweza kutumia any faces ili uwe frustrated zaidi.
acha kuangalia movie my dear
hii ndoto inaonesha kuwa muda si mrefu utapanda cheo sasa sali sana kumuomba mungu afanikishe hilo...
hii inaonesha dhahiri shahiri kuwa utapata mume siku si nyingi hii ni kama ujaolewa na kama umeolewa basi mtapata mtoto hivi karibu dhidisha sana maombi..
Inategemea, kwa mfano mimi, kila ndoto ninayoota ni lazima itimie. Hebu jaribu kukumbuka kama ndoto unazoota zimeshawahi kutimia. Otherwise utakuwa uliangalia movie ya kikatili ndipo ndoto za namna hiyo zikakuingia.
yup sometime huwa tunaota kulingana na tuliyoyashuhudia au kuyawaza kabla ya kulala....human brain ni complex machine...