The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,140
- 116,064
Ni utaratibu mbovu kwa chama kinachoangalia wakongwe tu badala ya kuchanganya na vijana wanaochipukia.Itakuwa very unfair.
Ni lazima kuwe na succession Plan
She deserves.Waache u-primitive sasa
She deserves?
seriously?....kwa mchango upi kwa taifa?
mimi binafsi ningependa viti hivyo vifutwe kabisa