joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,389
- 41,503
Nyie wanawake, yaani yale mawazo ya shela jeupe yanawavuruga.mi sio mambo yangu 😀😀au na mi wakiume
Nyie wanawake, yaani yale mawazo ya shela jeupe yanawavuruga.mi sio mambo yangu 😀😀au na mi wakiume
Mbamizwa katumeniNdo shida ya makurumbembe ya humu.
Wote ni introverts na wana ndinga kali.
Heri yangu mimi ni TALL, DARK and HANDSOME.
Cc: Mbaga Jr Binti wa zamani
mi honeymoon ndo itanivuruga🤣🤣Nyie wanawake, yaani yale mawazo ya shela jeupe yanawavuruga.
Hivi asie bikra inaruhusiwa avae shela jeupe?Nyie wanawake, yaani yale mawazo ya shela jeupe yanawavuruga.
Zamani rangi nyeupe ilikuwa inawasilisha, kwamba bado hajaingiliwa/mwana mwali. Siku tunavaa tuu ila hairepresent purity ya binti, ila zamani shela lilikuwa Kina represents purity kwa mwanamke.Hivi asie bikra inaruhusiwa avae shela jeupe?