Muachie Mungu kwa kweliReal
Muachie Mungu kwa kweliReal
Hahaha inabidi JPM awe role model wetu sasa, hahaa
Alafu kuna haka kajisistaduu kanaitwa miss chagga , yani kanapenda hela kama wallet,Stunter SIO KAMA UMEFUNIKA',"" UMEZIKA KABISAA HAHAHA
Nimeibeba tu kama ilivyo haikua na jinahiyo avatar mpya ndio nani tena
tulikua tumeshaizoea ya mwanzoNimeibeba tu kama ilivyo haikua na jina
Sijuii mdogo wanguhivi kukatika ndio sheria eenh
Yaani hilo suala ni gumu sanaaahata mm kuomba aisee kimenishinda
chakula bila viungo hakina ladha mdomoni.hivi kukatika ndio sheria eenh
Aisee Well said mkuu, hiyo kweli kabisaaYaan mi mapenzi ya ivi nashindwa,unaweza muudumia manzi kila kitu badae unakuletea kiburi,majivuno na dharau,..sasa kama wew una weakness ase utateseka buree,...mapenzi hayanzii kweny pesa yananzia moyoni,
Afadhali Mpendwa Joanah umeona hilo.Alafu na zile kilometers kadhaa uende wewe
Wanawake tuwe na huruma saa zingine [emoji38]
Hahaaaaaa kwani na wewe unapigagga kelele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutafanyajee sasa na nisipokuridhisha unaenda kunisema kwa mashoga zako.. kumbe haujui hapo nilitoka kubeba box nimechoka ili kidogo upate za usafiri
Tuvumilie mabadiliko wangutulikua tumeshaizoea ya mwanzo
Jamni mbona mnaniwazisha iweje wote msijue?Sijuii mdogo wangu