Ndoa za wake wengi katika ukristo

Ndoa za wake wengi katika ukristo

Kumbuka Mungu hakuumba adam na wakina Eva aliumba Adm & Eva tu angeumba wanawak wawili nahs hapo ingekuwa ruksa kbsa

Sent using Jamii Forums mobile app

Je wajua kabla ya Adam kulikuwa na watu wengine? Hivyo yawezekana kauli yako ya kuwa Mungu aliumba Adam na Eva tu ikawa na walakini kwa vile inawezekana kabisa kulikuwa na kina Eva na sio Eva tu.
 
Wewe oa wanne kijana,ikiwa biblia imemuongelea huyo 'mshikaji' alizaa na wanawake wanne sasa why uwe na mashaka?achana na sheria za Italia,chukua maandiko ya mungu,fata nyayo za Jacob tu sasa maana hakuna namna...!
Sawa
 
Adamu alipewa wake wangapi? Ibrahimu alioa wake wangapi? Ukijibu hayo maswali utajua Mungu alikusudia nini juu ya ndoa.

Ni makosa kuchukulia kuwa kila kilichofanywa na watu maarufu kwenye Biblia basi ni ruhusa kutenda.

vv
Abraham ana mke mmoja ila alizaa na wanawake wawili
 
Kuna haja ya hizi dini zetu zikafanya 'review' ya maandiko. maana takwimu za idadi ya watu zinaonyesha kuwa wanawake ni wengi mara tatu ya idadi ya wanaume. Hivyo sio haki kwa kuwa na mke mmoja. Hawa wanaokosa waume wanapata msongo wa mawazo na kuamua kutenda zambi, wanatupa vishawishi sisi wengine tuliotulia na mke mmoja.
Sawa
 
Mleta uzi anajua kwamba Adam na Eva ndio waliumbwa mwanzo, kumvuka Yakobo alikuja baada ya huo uumbaji. Kama wake wengi ni kosa kwa kigezo cha ummbaji, Yakobo nae angekuwa mkosaji.

Agano jipya linakataza kuwa na mke zaidi ya mmoja? Nnachofaham kuna mstari Paulo anasema inampasa Askofu awe mme wa mke mmoja. Sijaona mstari unaosema kuoa zaidi ya mke mmoja ni dhambi. Tupe elimu tafadhali
Sawa
 
Je wajua kabla ya Adam kulikuwa na watu wengine? Hivyo yawezekana kauli yako ya kuwa Mungu aliumba Adam na Eva tu ikawa na walakini kwa vile inawezekana kabisa kulikuwa na kina Eva na sio Eva tu.
Mmmm!!! Sina uhakika na hilo kbsa kabla ya Adm hakukua na mtu mwngne tofaut na malaika tu xaxa hyo mtu au hao watu waliitwa wakina nan?
 
Sidhani kama Biblia ndio inapaswa kutafsiri hivyo. Yaani kwa sababu fulani alifanya vile, basi na wakristo wafanye hivyo!!.
Sio kila kitu kilichofanywa na watu maarufu kwenye biblia basi wakristo wakopi na kupaste hicho kitu hivyo hivyo kilivyo.

Kwa mfano..
-Yesu aliishi na hakuoa kabisa. Je wakristo wasioe?
-Mfalme Sulemani alikuwa na Wake zaidi ya mia Tisa. Je wakristo wafanye hivyo?
-Maria alipata mimba ya Yesu pasipo kufanya mapenzi, Je wakristo waige hivyo?
Sawasawa
 
Still scientists wanaonyesha wanawake wanazaliwa kwa wingi kuliko wanaume.
Alafu wanaume wanakufa kwa wingi kuliko wanawake

Kumbuka kuna mashoga

Kuna ma padre ambao hawaowi kabisa.
Kwahiyo kama moja atakua na mke moja wengine wataenda wapi.
Ratio 1:4.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa sababu na sisi wanawake siku hizi tunafanya Yale Yale wanayofanya wanaume laana ya kifo cha mapema itatuandamana tu. So kutakuwa sawa kwenye population.
 
Waislamu wanakuwa wengi kuliko wakristo huku Bara bado kidogo tutakuwa nchi ya kiislamu mara tuu idadi yao itakapozidi 50%. Wakristu Unganeni na Mimi Tuzae watoto wengi na wanawake wengi tuikomboe nchi yetu na hawa waislamu.

Just imagine muislamu mmoja wake wanne watoto 16 versus mkristu mmoja mke mmoja mchepuko mmoja watoto watatu.

Bado huyo mchepuko aolewe na muislamu na mtoto wako asilimishwe lahaulah lakwata!
 
Katika Biblia Jacob alifanikiwa kuzaa na wanawake 4, kupitia hao wanawake 4 akazaa nao watoto 13, na hapo ndipo yakapatikana mataifa 12 ya Israel, hili limekaaje? Sasa kama Jacob alikuwa na wanawake 4, kwanini na mimi nisiwe na wanawake 4?

Wajuzi wa biblia mje hapa, waislamu tafadhali sana msilete matusi wala chuki za kidini.

Mkuu naona kama unachanganya mambo, Mbona Jakobo hakua Mkristo,

Sasa unaposena ndoa za kikristo alafu unamtaja Jakobo... Unalinganisha vitu viwili tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niambie biblia inasemaje kuhusu ndoa????
Biblia inasema hivi kuhusu ndoa...

1/Mungu aliumba mtu mume(Adamu) na kisha mtu mke(Hawa).

2/Mungu alimfanyia Adamu msaidizi(mke) wa kufanana naye.

3/Mwanaume ataachana na wazazi wake na kuambatana na Mkewe.

4/Na kwa sababu ya kuepuka zinaa, kila mtu awe na mke wake mwenyewe.

5/Mwanaume ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.

6/Apataye mke kutoka kwa Mungu, basi apata kitu chema.

7/Mwanaume amfurahie mke wa ujana wake.

8/Mwanaume na ampende mkewe, na mke anapaswa kumtii mumewe.

9/Alichokiunganisha(Ndoa) Mungu, mwanadamu hana mamlaka ya kukitenganisha.

10/Ndoa ni Agano la milele baina ya Mke na Mume, ni kifo tu kinachoweza kuwatengenisha.

12/Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Waislamu wanakuwa wengi kuliko wakristo huku Bara bado kidogo tutakuwa nchi ya kiislamu mara tuu idadi yao itakapozidi 50%. Wakristu Unganeni na Mimi Tuzae watoto wengi na wanawake wengi tuikomboe nchi yetu na hawa waislamu.

Just imagine muislamu mmoja wake wanne watoto 16 versus mkristu mmoja mke mmoja mchepuko mmoja watoto watatu.

Bado huyo mchepuko aolewe na muislamu na mtoto wako asilimishwe lahaulah lakwata!
 
Biblia inasema hivi kuhusu ndoa...

1/Mungu aliumba mtu mume(Adamu) na kisha mtu mke(Hawa).

2/Mungu alimfanyia Adamu msaidizi(mke) wa kufanana naye.

3/Mwanaume ataachana na wazazi wake na kuambatana na Mkewe.

4/Na kwa sababu ya kuepuka zinaa, kila mtu awe na mke wake mwenyewe.

5/Mwanaume ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.

6/Apataye mke kutoka kwa Mungu, basi apata kitu chema.

7/Mwanaume amfurahie mke wa ujana wake.

8/Mwanaume na ampende mkewe, na mke anapaswa kumtii mumewe.

9/Alichokiunganisha(Ndoa) Mungu, mwanadamu hana mamlaka ya kukitenganisha.

10/Ndoa ni Agano la milele baina ya Mke na Mume, ni kifo tu kinachoweza kuwatengenisha.

12/Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Samahani unaweza ukatoa vifungu vya biblia vyenye hayo maneno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom