Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,980
- 5,797
Good observation. Kuna watu wanaamini unapozaa na mwanamke yoyote basi huyo ni mkeo kwa hiyo unakuwa na wake wengi!Abraham ana mke mmoja ila alizaa na wanawake wawili
vv
Good observation. Kuna watu wanaamini unapozaa na mwanamke yoyote basi huyo ni mkeo kwa hiyo unakuwa na wake wengi!Abraham ana mke mmoja ila alizaa na wanawake wawili
Umezungumza vema sana, isipokuwa namba 10 kwenye umilele. Ndoa sio agano la milele nadhani ulitaka kusema mtu hapaswi kutengana na mwenza wake hadi kifo kiwatenganishe.Biblia inasema hivi kuhusu ndoa...
1/Mungu aliumba mtu mume(Adamu) na kisha mtu mke(Hawa).
2/Mungu alimfanyia Adamu msaidizi(mke) wa kufanana naye.
3/Mwanaume ataachana na wazazi wake na kuambatana na Mkewe.
4/Na kwa sababu ya kuepuka zinaa, kila mtu awe na mke wake mwenyewe.
5/Mwanaume ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.
6/Apataye mke kutoka kwa Mungu, basi apata kitu chema.
7/Mwanaume amfurahie mke wa ujana wake.
8/Mwanaume na ampende mkewe, na mke anapaswa kumtii mumewe.
9/Alichokiunganisha(Ndoa) Mungu, mwanadamu hana mamlaka ya kukitenganisha.
10/Ndoa ni Agano la milele baina ya Mke na Mume, ni kifo tu kinachoweza kuwatengenisha.
12/Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Katika Biblia Jacob alifanikiwa kuzaa na wanawake 4, kupitia hao wanawake 4 akazaa nao watoto 13, na hapo ndipo yakapatikana mataifa 12 ya Israel, hili limekaaje? Sasa kama Jacob alikuwa na wanawake 4, kwanini na mimi nisiwe na wanawake 4?
Wajuzi wa biblia mje hapa, waislamu tafadhali sana msilete matusi wala chuki za kidini.
Dada faith kwani biblia inasemaje KUHUSU ndoandugu yangu usisome biblia kama unasoma kitabu cha stori, Yesu kristo alipokuja Duniani aliyafuta hayo yote usisome Mwanzo tu, kasome na vitabu vyote vya agano jipya, sasa wewe kaoe wanawake wa 4 uone kama mbinguni utaingia
Kristo Yesu alikuja duniani sio kwa ajili ya kutengua torati bali kukamilisha torati.Kweli sisi wakristo tumepewa agano jipya baada ya Kristo kufa msalabani.
Ndio maana hata zile adhabu za kule agano la kale hazitumiki tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada faith kwani biblia inasemaje KUHUSU ndoa
Usinifanyie hivyo Dada yangu mpendwa Mimi na wewe tumetoka mbali sanaunataka wake wa 4? kama ndio kaoe kaka yangu mpendwa ila sitakuona heaven
Hakuna kitu chochote unachoweza kusema kwa msingi wa biblia ambacho hakiwezi kupingwa kwa msingi wa biblia.Katika Biblia Jacob alifanikiwa kuzaa na wanawake 4, kupitia hao wanawake 4 akazaa nao watoto 13, na hapo ndipo yakapatikana mataifa 12 ya Israel, hili limekaaje? Sasa kama Jacob alikuwa na wanawake 4, kwanini na mimi nisiwe na wanawake 4?
Wajuzi wa biblia mje hapa, waislamu tafadhali sana msilete matusi wala chuki za kidini.
AllahuakbarNdio maana mimi nilikimbia Upadri nikahamia dini ya haki.
Takbiiiiiiiir
Jacob was never a Christian..Katika Biblia Jacob alifanikiwa kuzaa na wanawake 4, kupitia hao wanawake 4 akazaa nao watoto 13, na hapo ndipo yakapatikana mataifa 12 ya Israel, hili limekaaje? Sasa kama Jacob alikuwa na wanawake 4, kwanini na mimi nisiwe na wanawake 4?
Wajuzi wa biblia mje hapa, waislamu tafadhali sana msilete matusi wala chuki za kidini.
Katika Biblia Jacob alifanikiwa kuzaa na wanawake 4, kupitia hao wanawake 4 akazaa nao watoto 13, na hapo ndipo yakapatikana mataifa 12 ya Israel, hili limekaaje? Sasa kama Jacob alikuwa na wanawake 4, kwanini na mimi nisiwe na wanawake 4?
Wajuzi wa biblia mje hapa, waislamu tafadhali sana msilete matusi wala chuki za kidini.
Unaniuliza tena..Kwa hiyo Jacob alikuwa ni nani??