Yesu KAPEWA SHERIA ZIPI?Kweli sisi wakristo tumepewa agano jipya baada ya Kristo kufa msalabani.
Ndio maana hata zile adhabu za kule agano la kale hazitumiki tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Allahu AkbarNdio maana mimi nilikimbia Upadri nikahamia dini ya haki.
Takbiiiiiiiir
Kula kona sasa..
Kwani Mungu alitoa mbavu ngapi kwa Adamu? Si alitoa ubavu mmoja tu, yaani Eva? Sasa kama unaamini ubavu wako ulitawanywa kwa akina "Eva" wanne basi oa wake wanne.
Lakini pia alizaa na wasaidizi wa wawili wa HAO wake zake,HII imekaaje???Tofautisha kuoa wanawake wengi na kuzaa na wanawake wengi, Jacob yeye alio wanawake wawili japo na hili lilitokana na kuwa baba mkwe alimchomekea akidai kwa mila zao mdogo hawezi olewa mpaka aliyemtangulia aolewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
mungu aliumba adamu na hawa "hawa" manake ni wengiKumbuka Mungu hakuumba adam na wakina Eva aliumba Adm & Eva tu angeumba wanawak wawili nahs hapo ingekuwa ruksa kbsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuu!!!! Noma sana ngoja na Mimi nikafanye uchunguzi afu ntarudKuna mambo dini zimejichomeka tu ili kuwapa wanadamu utaratibu wakuishi kwa jinsi kila aliyeanzisha iyo dini aliona inafaa.ndo maana kila dini ina utaratibu wake.Kilichoumbwa na Mungu ni kuzaana wala sio ndoa,na ilo jukumu lakuzalisha alipewa mwanaume ndo mana mwanaume aliumbwa kwa namna yakumfanya azalishe wanawake kwa kadri ya anavyoweza ndo maana anatengeneza mbegu kila siku na hana MP na aliumbwa na tamaa dhidi ya mwanamke.Hadi hapo unapata picha kua aliyesema mke moja mume moja kapotosha kusudi la uumbaji.Kwaiyo mafundisho ya dini yasikupofue ukashindwa kujua nature ikoje,kwasababu yako makanisa leo yanahubiri swala la ndoa ya jinsia moja iyo maana yake ni kwamba itakapofika mwaka 3000 kutakua na mabadiliko makubwa kwenye sheria za ndoa lakini kusudi la uumbaji lazima liwepo.ndoa ililetwa kama hati miliki ya mwanaume kummiliki mwanamke ili kusiwe na mapigano ya wanaume kwa wanaume kugombea wanawake kama ambavyo wanyama wengine wanafanya.nasisi binadamu hatuko tofauti na hao wanyama kwenye swala la nguvu kujamiiana.
Niambie biblia inasemaje kuhusu ndoa????Sidhani kama Biblia ndio inapaswa kutafsiri hivyo. Yaani kwa sababu fulani alifanya vile, basi na wakristo wafanye hivyo!!.
Sio kila kitu kilichofanywa na watu maarufu kwenye biblia basi wakristo wakopi na kupaste hicho kitu hivyo hivyo kilivyo.
Kwa mfano..
-Yesu aliishi na hakuoa kabisa. Je wakristo wasioe?
-Mfalme Sulemani alikuwa na Wake zaidi ya mia Tisa. Je wakristo wafanye hivyo?
-Maria alipata mimba ya Yesu pasipo kufanya mapenzi, Je wakristo waige hivyo?
Weye naye huwa kajinga kweli. Unajisifu kula makinikia?Ndio maana mimi nilikimbia Upadri nikahamia dini ya haki.
Takbiiiiiiiir
Nakuuliza weweHili swali unamwuliza Pablo Banco au Jacob aliyezaa na wanawake wanne ?
Adamu alipewa wake wangapi? Ibrahimu alioa wake wangapi? Ukijibu hayo maswali utajua Mungu alikusudia nini juu ya ndoa.Katika Biblia Jacob alifanikiwa kuzaa na wanawake 4, kupitia hao wanawake 4 akazaa nao watoto 13, na hapo ndipo yakapatikana mataifa 12 ya Israel, hili limekaaje? Sasa kama Jacob alikuwa na wanawake 4, kwanini na mimi nisiwe na wanawake 4?
Wajuzi wa biblia mje hapa, waislamu tafadhali sana msilete matusi wala chuki za kidini.
Hii ni hoja mufilisiKwani Mungu alitoa mbavu ngapi kwa Adamu? Si alitoa ubavu mmoja tu, yaani Eva? Sasa kama unaamini ubavu wako ulitawanywa kwa akina "Eva" wanne basi oa wake wanne.
Ninacho kijua mm ni Adam na Eva tu Hawa simfahammungu aliumba adamu na hawa "hawa" manake ni wengi
sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
Yesu inasema tangu mwanzo Munguu aliumba mtu mke na mume.Niambie biblia inasemaje kuhusu ndoa????