Naye anajua uondo wake,lakini hatuna jinsi.Subira tu..bora ile ya mzim unajua siku flani inawekwa hii had ajisikie mwenyewe kutupostia
Hadi unatamani kulia yani,maana na mtunzi naye anafanya sifa kukatisha utamu sehemu nzuriutam unakuja utam unakata
Tukubali tu kupata alostoyaani hapo ni baada ya siku nne tena au akijisikia mwenyewe tutafanyaje hatuna namna
hana cha kufanya hapodah!!!!....nashikwa na hasira ajabu....huyu onesmo mbona hamwagi mboga na yeye!!!
Asante mpenzi nimefika japo nimechelewa