Ndoa yangu ipo mashakani nisaidieni

Ndoa yangu ipo mashakani nisaidieni

All sweet user names are TAKEN what shall I do,lol... All in all shida yangu haihusiani na user name,so ningependa mnisaidie kwa shida yangu na si user Name pls,n by the way,sijakeketwa na sikuwa Bikra pindi naolewa na my previous sikuwa nakosa hamu,halafu, sina mahusiano nje ya ndoa yangu.wala hata ile kumtamani mwanaume yeyote sijawahi

Kama unamwamini Mungu, nenda ukafanyiwe maombi. Kama humwamini wahi kwa wataalam wa saikolojia.

Swali dogo la nyongeza. Mmeo anajua kuwa hauijoi kustorongiwa? Katika hali kama hiyo huwa unafika kwenye paa la mlima?

Btw majina mazuri bado yako kibao. hebu jaribu kujiita mke wa Asprin uone kama limeshachukuliwa
 
Hapana jibu la yote,uzazi wa mpango natumia mbegu za mnyonyo tu,hayo masindano,sijui madawa wala vijiti sijawahi

Samahani kuhusu ushauri fuata maelekezo ya baadhi ya Member umepewa.Ila mimi nataka kujua na kwa faida ya wengi,hizo mbegu za mnyonyo unazitumiaje kupanga uzazi!? Zinasaidiaje!?
 
Msifanye yafuatayo chumbani:- msiweke picha ya baba/mama mkwe, msalaba, msipige mziki wa kiinjili wa sifa/kuabudu wakati wa ku-duu maana vitu hivyo vinaweza kukata "stimu"

Wewe kweli ufalme wa Mungu upo mbali na wewe.Hivi hujui Mungu mwenyewe aliweka hilo tendo!? Tena tendo la ndoa ni takatifu.Lina siri ya Upendo wa Mungu.Na kabla hujalianza unapaswa kusali
 
Wewe kweli ufalme wa Mungu upo mbali na wewe.Hivi hujui Mungu mwenyewe aliweka hilo tendo!? Tena tendo la ndoa ni takatifu.Lina siri ya Upendo wa Mungu.Na kabla hujalianza unapaswa kusali

Umeshakuja? Ngoja nisepe.

Mzima?
 
hahahaha! Heaven on earth hawa wazee ni wale ujanani walikuwa wanazuiwa kukatiza mitaa flan..
 
Last edited by a moderator:
Wewe kweli ufalme wa Mungu upo mbali na wewe.Hivi hujui Mungu mwenyewe aliweka hilo tendo!? Tena tendo la ndoa ni takatifu.Lina siri ya Upendo wa Mungu.Na kabla hujalianza unapaswa kusali

Labda hajawahi soma kuwa imeandikwa..... "msinyimane.....unywe maji ya birika lako mwenyewe..chemichemi yako isitawanyike katika njia kuu.....umfurahie mke wa ujana wako"......tena tendo la ndoa raha ajabu unapopata ufunuo mpya kila siku toka kwa Roho mt.
 
We mringie tu! Huyo mumeo aliyekutolea mamilioni ya shilingi kukuoa

Akikutana na akina ummy utalia na mito kitandani 24/7,shauriro bibie.........

Nenda kwa makungwi na manyakanga wakakufunde jinsi ya kulea mtoto mume........
Kitchen kupewa vyombo mafundo ni uyangon bibie.
 
Kama unamwamini Mungu, nenda ukafanyiwe maombi. Kama humwamini wahi kwa wataalam wa saikolojia.

Swali dogo la nyongeza. Mmeo anajua kuwa hauijoi kustorongiwa? Katika hali kama hiyo huwa unafika kwenye paa la mlima?

Btw majina mazuri bado yako kibao. hebu jaribu kujiita mke wa Asprin uone kama limeshachukuliwa

awe mrs asprin basi....mbona litanoga tu...............

Maswali ya nyongeza nilidhani yako Bungeni umbe hadi huku............
 
Hapana sijawahi kuota ndoto za aina hiyo,labda sikumbuki,pia nafanya kazi kama mama anavotakiwa,ingawa kwa wale wanawake wavivu wavivu wa kubandika makucha wataziona ni nyingi,ila kwa mimi nimezizoea tangu kwa mama yangu mzazi,na sikuolewa tu ili niolewe,niliolewa kwa kuwa nampenda sana mume wangu,na umri wangu bado ni mdogo kiasi cha kusema kukimbilia ndoa,nitavitafuta hivo vitabu vinisaidie

s
vyema tafuta vitabu google article zinazohusu mapenzi jifunze coz ndoa ni shule ukiacha kujifunza utavurunda ukisikia makongamano ya ndoa sio mbaya kuhudhuria unaweza okota mawili matatu jitahidi najua wanawake mnafurahia ndoa wakati wa ovulation baada ya hapo apetite inapungua so kipindi hicho jitume dada mpe kila aina ya utundu lingine chagua style unayoifurahia sio yeye mara mbuz sijui nini tumieni missionary style wakat wa kazi mshauri pia awe anagusa kritoris inaweza amsha apetite yako ili msafiri wote any way mengine google mtaboresha ndoa
 
na atakukimbia kweli kweli sio kidogo! jitahidi kula vyakula vya protein kwa wingi! pia hakikisha mind yako imerelax na mambo ya dunia hii ..usiwe na stress...kuwa huru jiachie!
au humpendi tena?

well said, unatakiwa kui tune akili yako kuwa unafanya mapenzi na usiwaze chochote zaidi ya tendo lenyewe
 
upo bored tu wewe , ,,,,,,,, baada ya kuzaa na kuwa na watu wengi hapo nyumbani namna ya ufanyaji mapenzi hubadilika sana na kuwa very bored ( sababu kubwa ni kukosekana kwa uhuru, kuwa uchi na kujiachini , kubinuana style mbalimbali , maongezi ya kingono yanapungua , ukelele wakati wa kufanya hupungua ,,,, kwa kifupi mnashindwa kujiachia)
,,,,,,,,,,,,, cha muhimu hebu tokeni siku moja mchukue chumba hoteli mfanya ya enzi zenu muone kama hamtarudi nyumbani wapya.
 
mbishi wa wabishi, Kimbilia kanisani kwa maombi isijekua kuna manguvu ya giza yanayoinyemelea ndoa yako

Hakuna la kushindikana kwa Bwana YESU
 
Last edited by a moderator:
Kama unashindwa japo kusema unampenda hapa jukwaani katika maneno yoote uliyoweka hapa then uliolewa kupata heshima na mtoto ndio huyo basi tulia na yeye ampate wanayeendana ndio utajua ndoa ni madhabahuni au huku field!!!!!

Huna mapenzi wewe wala feelings kwake!!!!

Kaka heshima yako!!
Back 2 topic
...kaka spirtual husband nayo ipo sana sikuhizi.
 
labda shem alibambikiwa ! au anataka kila siku au ana jini mahaba

yea hata mie nalidhani hivyo na dalili za awali ni kugegedwa ndotoni..kama ndoto zako zina mwanaume mwingine acha ubishi wa ubishi kafanyiwe maombi..
 
Back
Top Bottom