Ndoa yangu ipo mashakani nisaidieni

Ndoa yangu ipo mashakani nisaidieni

kabla sijakushauri ngoja nikuuliz¿ je unaota ndoto za mapenzi na mtu usiyemkumbuka alafu anakufikisha kuleleni? ukimwona mmeo unamchukia kama ndiyo tatafuta kanisa lolote la wakole wa ukweli watakuombea majini mahaba yataondoka utafurahia ndoa je unampenda huyo mume au ulifunga ndoa ili mradi uelewe ? una mti mwingine pembeni kama ndiyo acha.mwisho pengine ni uchovu wa kazi hilo mbaweza jadiliana na mwenza wako pia jua mapenzi yanahitaj mandaliz kisaikolojia akuandae vizur mwambie ni wapi ukishikwa unasisimuka sana ili ukulainishe ndo akugegede yani ulainike sanaa huku ukihemea juu juu then unamwambia amalize pia tafuta vitabu kama msinyimane vitakuongezea maarifa sawa dada
Hapana sijawahi kuota ndoto za aina hiyo,labda sikumbuki,pia nafanya kazi kama mama anavotakiwa,ingawa kwa wale wanawake wavivu wavivu wa kubandika makucha wataziona ni nyingi,ila kwa mimi nimezizoea tangu kwa mama yangu mzazi,na sikuolewa tu ili niolewe,niliolewa kwa kuwa nampenda sana mume wangu,na umri wangu bado ni mdogo kiasi cha kusema kukimbilia ndoa,nitavitafuta hivo vitabu vinisaidie
 
Mhh kazi kweli kweli......ila unamtafutia mumoe sababu ya kutafta nyumba ndogo.......

Mind yako huwa somewhere wkt zoez zima linaendelea

Swali la msingi nisaidie kumuuliza: Amekeketwa?

Maswali madogo ya nyongeza: Ameolewa akiwa bikira? Kama jibu ni hapana je wakati anastorongiwa na waliomtangulia mmewe alikuwa hajisikii raha utamu pia?

Nasubiria majibu PM.
 
jina "mbishi wa wabishi" mmmmh! Sihukumu kitabu kwa cover lake ila.....
 
knowing your enermy is half way victory ,sasa kwa sababu umeshajua unavunja ndoa yako mwenyewe wewe ndio adui wa ndoa yako mwenyewe

Nimeamini majina yanaumba best. Hebu angalia username yake. Ukute jina lake halisi anaitwa Sipendi binti Kulalwa.... full burudani
 
babu Asprin nashukuru kwa nyongeza ya nahau "anastorongiwa."
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni dada(mama) nipo kwenye ndoa yapata mwaka sasa,na nina mtoto wa mwaka,tatizo langu kwa kweli sina hamu kabisaaa ya tendo la ndoa,yaan mume wangu akkihitaji yaani naona kama sijui mzigo gani.kwa sababu hata tukianza kujamiiana mwenzangu anahangaika japo kunihamasisha,lakini bado nachelewa sana kurespond,mimi sielewi nini tatizo kwangu,sasa naona ntampa sababu mume ya kunikimbia kwakweli, naomba msaada wana jf

Msifanye yafuatayo chumbani:- msiweke picha ya baba/mama mkwe, msalaba, msipige mziki wa kiinjili wa sifa/kuabudu wakati wa ku-duu maana vitu hivyo vinaweza kukata "stimu"
 
Swali la msingi nisaidie kumuuliza: Amekeketwa?

Maswali madogo ya nyongeza: Ameolewa akiwa bikira? Kama jibu ni hapana je wakati anastorongiwa na waliomtangulia mmewe alikuwa hajisikii raha utamu pia?

Nasubiria majibu PM.

cc mbishi wa wabishi.............

inashangaza binti wa kike ukajiita hivi lol.......

haya ngoja nije na mafile yangu huko PM ndo tutaelewana kwa uzuri.......
 
Last edited by a moderator:
Nijaribu mie utaona moto wangu...utarespond tu...nakukunja kama chura then dushelele langu inchi nane balaa...utakubali tu. Wife wangu alikuwa kama weww. ..nilimpiga power tiller mpaka uchozi ukamtoka...chezeya weye...
 
we si unajdai mbishi wa wabishi. subiri uletewe kicheche ndani ndo utakoma ubishi.
 
imetoka kwenye neno storongo.....Huyu babu Asprin ana mambo sijui ujana wake alikuaje

Tatizo nlizaliwa usiku wa ijumaa. Hii inamaanisha mdingi alimstorongo maza siku ya jumatano mchana wakati mvua inanyesha. Usije ukakubali mmeo/basha/jizi akakustorongo mchana jumatano mvua ikiwa inanyesha. Utapata hasara ya mimba utakayojifungua hamnazo kama mimi.

Mimba na iheshimiwe na wanaume wote.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo nlizaliwa usiku wa ijumaa. Hii inamaanisha mdingi alimstorongo maza siku ya jumatano mchana wakati mvua inanyesha. Usije ukakubali mmeo/basha/jizi akakustorongo mchana jumatano mvua ikiwa inanyesha. Utapata hasara ya mimba utakayojifungua hamnazo kama mimi.

Mimba na iheshimiwe na wanaume wote.

Hahaaaaaaaaa ila kama mvua hainyeshi na mchizi akanistorongo siku ya jumatano ila mvua

hainyeshi ni sawa.........maana niko katika harakati za ...............

mbona hauji lakin au nikutumie Verosa ...
 
Tatizo nlizaliwa usiku wa ijumaa. Hii inamaanisha mdingi alimstorongo maza siku ya jumatano mchana wakati mvua inanyesha. Usije ukakubali mmeo/basha/jizi akakustorongo mchana jumatano mvua ikiwa inanyesha. Utapata hasara ya mimba utakayojifungua hamnazo kama mimi.

Mimba na iheshimiwe na wanaume wote.
na ukistorongiwa usiku wa saa nane au tisa
 
wapo wakola wanakucheki humu subiri ukute penye mbuzi imebaki kamba , ukisikia kuvunja nyumba kwa mikono yako mwenyewe ndiyo huku
 
All sweet user names are TAKEN what shall I do,lol... All in all shida yangu haihusiani na user name,so ningependa mnisaidie kwa shida yangu na si user Name pls,n by the way,sijakeketwa na sikuwa Bikra pindi naolewa na my previous sikuwa nakosa hamu,halafu, sina mahusiano nje ya ndoa yangu.wala hata ile kumtamani mwanaume yeyote sijawahi
 
Hahaaaaaaaaa ila kama mvua hainyeshi na mchizi akanistorongo siku ya jumatano ila mvua

hainyeshi ni sawa.........maana niko katika harakati za ...............

mbona hauji lakin au nikutumie Verosa ...

Hiyo sijui labda tufanye majaribio mi na wewe tuone toto litakuwaje.
 
Back
Top Bottom