Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
ahahaaaaa jamaniHaaaa....mimi mwenyewe sasa hivi nimevunjwa nguvu na baadhi ya watu wanaoandika ili tu kufurahisha genge na kubeza ndoa...sasa majina yote mazuri yeye anachagua hili ...mimi ni mmoja wa wasioamini kuwa hakuna maana yeyote kwenye avatar...
Maandishi yake yanaonyesha yuko humble...avatar inamuonyesha ni arrogant...ushauri pekee ni abadili tabia