nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Haaaa....mimi mwenyewe sasa hivi nimevunjwa nguvu na baadhi ya watu wanaoandika ili tu kufurahisha genge na kubeza ndoa...sasa majina yote mazuri yeye anachagua hili ...mimi ni mmoja wa wasioamini kuwa hakuna maana yeyote kwenye avatar...
Maandishi yake yanaonyesha yuko humble...avatar inamuonyesha ni arrogant...ushauri pekee ni abadili tabia
Maandishi yake yanaonyesha yuko humble...avatar inamuonyesha ni arrogant...ushauri pekee ni abadili tabia
Nna wasi-wasi hata tukianza kukufunda utatubishia.