Ndoa yangu ipo ICU !dah

Mkuu je mama yako yuko hai?
Na mtoto wa pili ana umri gani?
Nakushauri usilazimishe kuishi na mtu asiye na mapenzi na Wewe tambua wewe ni binadamu iko siku atakufanyia kituko ili tu akuvunje moyo muachane na wewe ukashindwa kuvumilia ukachukua maamuzi magumu halafu watoto wataabike na kubaki yatima...
Nakushauri mtoto mkubwa mpeleke shule boarding..
Huyo mdogo Kama umri mdogo zaidi mpeleke kwa bibi yake yaan mama yako akikua kidogo naye mpeleke boarding..

Usilazimishe kuishi na joka ndani ya nyumba iko siku litakudhuru
 
Mkuu ukitaka kuinjoy life hakikisha mwanamke hakusomi akakumaliza alichomic mkeo ni kulia (mwanamke anapaswa asifurahi siku zote siku zingine unamfanyia fujo unakauka kiume hakuna kuomba msamaha ukiomba omba msamaha anakuona wewe ni mama tu)

Wewe achana naye avinjari anavyotaka hawatafika mbali hao
 
hahaha
mkuu nahisi ntakua nime understate kutoka a na stress
But am sure kuanzia last 3months
Mana nikikumbuka mwanzo wa mwaka it was fine ila miez hii ya karibuni bila bila
Imagine huu mwez tu show imepigwa mara mbili tu

halafu show yenyewe waonekana wewe mbakaji tu,anakutengea tu kama kahaba wa buguruni Kimboka ili mradi ukojoe
sasa hiyo ni show mzee baba???
 
pole sana inabidi tu ufate moyo wako unataka nini uko kwenye wakati mgumu sana ukimuacha ipo siku atarudi kwa magoti
 
Achana nae mbona una kua boya kaka ndoa ndoa ndoa kitugani?! Una teseka sana dingiii achana nae kasha pata mwingine
 
The best option ni kuachana nae. Huyo ashakuchukia lolote anaweza kukufanya coz hakupendi tena. Anza maisha upya utaumia lkn yataisha
 
mwanamke anaweza kukufanyia ushenzi na kuwa mkaidi labda kwa siku nne au ikizidi san wiki kutokana na wewe kumboa au yeye kuwa na stress zake,lakini huyo wa mwaka mzima hapoi mzee nakushauri uachane naye na utafute mpenzi mwingine ili usiendelee kuumiza moyo wako na ukaishi mbali naye kabisa ikiwezekna rudi dar badilisha na simu time will tell
 


Mmh hilo janga sijui kanga gani ulibebee, nlikuuliza hivyo coz nlihisi labda huyo mkeo hakukupenda tokea mwanzo (aliolewa na ww basi tu kwa vile hakuwa na option) ndo maana sahiv anakufanyia vitimbi simon baker
 
Ndoa zina mengi sana. Talaka kwa mkeo sio suluhisho. Akishaachika kwako unadhani huyo mchepuko atakaa naye basi? Lazima atarejea tu. By the way kumpiga mnaposhindwa kuelewana sio suluhisho. Angalia alternative solution.
 
Mkuu,
Pole Sana Kwa Maswahibu Hayo! Mungu Anasema Njooni Kwangu Ninyi Nyote Msumbukao Na Mizigo Nami Nitawapumzisha! Mungu Ni Mwaminifu Siku Zote, Hata Asipojibu Sawasawa Na Upendavyo Bado Yeye Ni Mwaminifu!
Watu Wengi Wanakwambia Umwache Mkeo,but I Beg To Differ With The Following Reasons!
1. Mara Nyingi Over 90% Ukivunja Ndoa Yako Ya Ujanani Ni Nadra Sana Ku Stabilize Kwenye Ndoa Zinazofuata,fanya Tafiti Utakubaliana Nami!
2. Katika Maisha Strength Ya Mtu Haipimwi Kwa Kukimbia Tatizo Bali Kulikabili Na Kulishinda. Msamaha Ni Pale Unaposamehe Jambo Ambalo Ki Binadamu Ni Ngumu Lakini Kwa Uwezo Wa Mungu Anakupa Neema Ya Kusamehe. Hatuchagui Mambo Ya Kukoseana, Sisi Sote Ni Dhaifu Sana,tofauti Yetu Na Wazee Wa Zamani Ni Kuwa Wao Walisameheana Sana Na Kuvumiliana Ambazo Ndo Traits Hasa Za Kuwa Katika Ndoa,forget The YOLO Saying Huo Ni Msemo Wa Teenagers Sio Adults!

SULUHISHO LA MUDA MFUPI
1.Tafuta Kazi Dar,rudi Dar Na Watoto Wote! Ikishindikana Hamia Mtaa Mwingine Hapo Moro Mwache Peke Yake!
 
Pole sana ndugu yangu,kwanza nikupe pongezi kwa kupambana kunusulu familia yako na kuhakikisha wanoa unawalea vizuri kwa maisha yao ya badae.Kaka hawa watu mara nyingi wanaitaji huwe na uvumilivu na maono ya badae kwa familia yako(watoto).Nina mfano kuna rafiki yangu mmoja, mke wake alinganganiza na kumfanyia vituko vya kutosha hadi jamaa akaamua kuondoka na kubeba mwanae,lakini kwa sasa huyu mama licha ya kuwa na kazi anateseka sana,hivyo nachokushauri mwambie ndoa haijaribishwi na ukiingia lazima mengine ya dunia hayaache ili apate thawabu kutoka kwa mwenyezi mungu,vinginevyo ataaribu ndoa yake kwa mikono yake.Asubuhi njema na mungu akubariki wewe na familia yako.
 
Mkuu kwanza nikupe pole na hongera kwa uvumilivu. Mpaka kwenye point hyo the Best Option achana Naye , tena kama bado yupo under 30 bado hajui life inaendaje. Let her go bro, ipo siku atakuja anatembelea magoti kuomba msamaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…