ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,726
- 28,280
blaza unapotoka!Wee Jamaa kabila gan?? Nadhan wee ni mmoja ya wale wanaoamin. "Ukioa mchaga, atakuua".
Yaan mimi nimesoma na mwananke wangu, tumemaliza chuo, tumepata kazi, tumeoana,... Alafu ulitaka tulipomaliza tuachane kisa yeye ana elimu ? Na kazi pia??
Wee ni mkurya ??
Wewe ni aina ya Wanaume wakoloni, wanaopenda kunyenyekewa , hawapendi wanawake wasonge mbele, yaan wale ambao utasikia. "Usisomeshe mtoto wakike".
face the reality