Amanda Lynn
Member
- May 18, 2015
- 77
- 54
Papuchiii .hii ndo xababu kubwa
Kwani zenu zinafanana
Papuchiii .hii ndo xababu kubwa
Kwani zenu zinafanana
Akishakuwa namchepuko mimi wa nini huyo, ina maana ndio tabia yake hawezi kubadilika. Hata huyo mchepuko wake bado atakuwa anamcheat.
Hapana Mungu ndivyo alivyotuumba hivyo, fanya utafiki kidogo hata Viumbe vingine vilivyo kwenye kundi la MAMALIA i.e wanyama wa porini, ndege , viumbe vya baharini utakuta hiko hivyo. ''ME'' lazima atakuwa na zaidi ya Mmoja.
Kwani mpaka mbugani, si kuna wanyama wa kufugwa kama paka, mbwa, kuku, punda. Tambua hamna tofauti kati ya wanyama wa kufugwa na wale wa porini
Kuoa sio issue,swala gumu ni matunzo ya hao wake,watoto,wakwe kwa kila mke,mashemeji kwa kila mke nk.nk.wengi huwa wanaishia kutelekeza familia zao au kufa haraka kwa maradhi ya presha.
Mungu anachukia uzinzi ndio maana unaona mshahara wa dhambi ni mauti na hao wanyama unaozungumzia hata KE huwa hawalali na ME mmoja unless utake kusema KE binadamu ndio mwenye akili na utashi wa kujua zuri na baya na ME binadamu akili na ufikiri wake ni kama wanyama wakti si kweli
Kweli kabisa. Sasa lakini kuwatunza sio mchezo mtu unakua na wake wanne alaf maisha yko kubangaiza. Kweli starehe ya maskini ni ngono tu hawazi mengine
Halafu sisi wenye visenti zaidi yako tunakusaidia kutunza wake zako kifedha na kimwili.Tena hawanaga makuu wale
Hivi kwanini isiruhusiwe tu na serikali ya TZ, namaanisha watoe na vyeti kadhaa vya ndoa sio moja tu, tatizo hasa liko wapi?. Waislamu kila siku wanajipendelea, wakistro tunajibana na mke mmoja wakati michepuko tunaendekeza, huku watu mfano Mfalme Sulemani alikuwa ameoa totoz zaidi ya 700 kama sio 1000. Watu kama Mfalme Mswati III hawamfikii hata robo Mfalme Sulemani.
Wanaume are 'polygamous' by nature hiyo hata science inathibitisha. Historia inaonyesha wanaume walikuwa wanaoa wake wengi na wanawake wala hawakuwa na tatizo na wengi wao wala hawana tatizo na hilo.
Hakuna aliyehalalisha uzinzi, nilichokisema mnatakiwa mfahamu kuwa wanaume hawatosheki na mke mmoja, hivyo anapohitaji kuongeza mwingine ni vyema mkawaruhusu, kuendelendelea kuwakatalia kutasababisha achepuke. Na hii ndio iko hivyo, hata kwa viumbe vingine ''me'' mmoja lazima awe na zaidi ya ''ke'' mmoja.
by nature mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja huo ndio ukweli. Na wanawake wenyewe wanajua kua mziki wa kumridhisha mume sio mdogo na hiyo kazi hawaimudu ila wivu unawasumbua