Huwa nashindwa kuelewa nikiona mtu anakuja na kuazisha TOPIC alafu inahusiana na life ya mtu sasa hapo ukishajua kuhusu hii ndoa ndio itakuwaje zaidi??Maana naona hamna point ya kuanzisha topic kama hii leteni topic za maana hao wafunge ndoa wasifunge watajijua wenyewe hawatulipi na wala hawatusaidii....