Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
HahahahaNimekaa hapa sebuleni nawaza tu, muda huu nadhani hii ndio sredi bora ya mwaka huu.
HahahahaNimekaa hapa sebuleni nawaza tu, muda huu nadhani hii ndio sredi bora ya mwaka huu.
Mpaka kifo kitutengeee hivo basi hata mchepuko ukiingia huo mchepuko ndo utakufa .


yani G nimecheka..khaaaDah! Umetisha kiongozi.Mpaka kifo kitutengeee hivo basi hata mchepuko ukiingia huo mchepuko ndo utakufa .
Bado sielewa hii comment yko kwa huku mwishoniwazo lako ni zuri sana.....nampa ya kulipenyeza lifike bungeni sasa......ndoa nyingi ni sanaa tuu.....but hii kauli ya ndoa ya kikristo haivunjiki.......kwanza ipite mbali kabisa......mmeshindwana then kwasbb hiyo tuendelee...no way...futa delete....na ndio maana cheti cha ndoa kina chapa ya jamhuri......
wapi haswa broo...Bado sielewa hii comment yko kwa huku mwishoni
Hapo vip!!
Kutoka na hali Ya maisha Ya ndoa Ya nyakati hizi,kuna umuhimu sana ikapelekwa bungeni mswada wa kupitisha ndoa Ya mkataba kwa sababau zifuatazo :
Kwanza katika research niliofanya, nimegundua katika kaya nyingi sana wanaotangulia kufa mepema ni wanaume kwa asilimia 97% .
Na miongoni mwa sababu inayosababishia wanaume watangulie kufa ni pressure,strock ,magonjwa Ya moyo na kuparalize gofla kutokana na mshtuko,stress na msongo wa mawazo unaosababishwa na wake zao.
Na kutoka na nature Ya ndoa tunazofunga makanisani inakuwa vigumu kwa mwanaume kuvunja ndoa endapo emekutana na mazingira kama haya, hivyo kungekuwa na ndoa ya mkataba ingemsadia mwanaume au mwanamke kuvunja au kuachana na hyo ndoa kama tayari ameona inamletea stress,inamnyima amani na kumletea msongo wa mawazo.
Faida nyingine Ya ndoa Ya mkataba, inaleta heshima kwenye ndoa, yaani mwanamke hatakuwa msumari wa moto ndani ya nyumba kwasababu anajua fika akizingua mkataba ukiisha na ndoa imekwisha.
Chonde chonde kwa wenye nafasi bungeni wapeleke huu msawada bungeni ili tuweze patiwa ndoa Ya mikataba.
Hapo vip!!
Kutoka na hali Ya maisha Ya ndoa Ya nyakati hizi,kuna umuhimu sana ikapelekwa bungeni mswada wa kupitisha ndoa Ya mkataba kwa sababau zifuatazo :
Kwanza katika research niliofanya, nimegundua katika kaya nyingi sana wanaotangulia kufa mepema ni wanaume kwa asilimia 97% .
Na miongoni mwa sababu inayosababishia wanaume watangulie kufa ni pressure,strock ,magonjwa Ya moyo na kuparalize gofla kutokana na mshtuko,stress na msongo wa mawazo unaosababishwa na wake zao.
Na kutoka na nature Ya ndoa tunazofunga makanisani inakuwa vigumu kwa mwanaume kuvunja ndoa endapo emekutana na mazingira kama haya, hivyo kungekuwa na ndoa ya mkataba ingemsadia mwanaume au mwanamke kuvunja au kuachana na hyo ndoa kama tayari ameona inamletea stress,inamnyima amani na kumletea msongo wa mawazo.
Faida nyingine Ya ndoa Ya mkataba, inaleta heshima kwenye ndoa, yaani mwanamke hatakuwa msumari wa moto ndani ya nyumba kwasababu anajua fika akizingua mkataba ukiisha na ndoa imekwisha.
Chonde chonde kwa wenye nafasi bungeni wapeleke huu msawada bungeni ili tuweze patiwa ndoa Ya mikataba.
unajua kinachotokeaga ukiwa umebaki mwezi mmoja ili mkataba uishe? watu wanagegedana all the time cha mwishomwisho hadi wanauguaga kabisa.Hapo vip!!
Kutoka na hali Ya maisha Ya ndoa Ya nyakati hizi,kuna umuhimu sana ikapelekwa bungeni mswada wa kupitisha ndoa Ya mkataba kwa sababau zifuatazo :
Chonde chonde kwa wenye nafasi bungeni wapeleke huu msawada bungeni ili tuweze patiwa ndoa Ya mikataba.
Tena mkataba uwe miaka miwili miwili au mmoja ndoa ikizingua unagoma ku renew kila mtu atambae na hamsini zake hakuna kugandana watoto tutalea juu kwa juu mbele kwa mbele....Hizi ndoa za mkataba ni bomu Mkuu. Kwa maoni yangu hazistahili kabisa kuruhusiwa.
Bila shaka umeandika huku ukimwangalia my waifu wako.Nimekaa hapa sebuleni nawaza tu, muda huu nadhani hii ndio sredi bora ya mwaka huu.
Labda hiyo ni tatizo kwa ndoa zisizo za Kiislam, ndoa zote za Kiislam ni mkataba "Aqd".Hapo vip!!
Kutoka na hali Ya maisha Ya ndoa Ya nyakati hizi,kuna umuhimu sana ikapelekwa bungeni mswada wa kupitisha ndoa Ya mkataba kwa sababau zifuatazo :
Kwanza katika research niliofanya, nimegundua katika kaya nyingi sana wanaotangulia kufa mepema ni wanaume kwa asilimia 97% .
Na miongoni mwa sababu inayosababishia wanaume watangulie kufa ni pressure,strock ,magonjwa Ya moyo na kuparalize gofla kutokana na mshtuko,stress na msongo wa mawazo unaosababishwa na wake zao.
Na kutoka na nature Ya ndoa tunazofunga makanisani inakuwa vigumu kwa mwanaume kuvunja ndoa endapo emekutana na mazingira kama haya, hivyo kungekuwa na ndoa ya mkataba ingemsadia mwanaume au mwanamke kuvunja au kuachana na hyo ndoa kama tayari ameona inamletea stress,inamnyima amani na kumletea msongo wa mawazo.
Faida nyingine Ya ndoa Ya mkataba, inaleta heshima kwenye ndoa, yaani mwanamke hatakuwa msumari wa moto ndani ya nyumba kwasababu anajua fika akizingua mkataba ukiisha na ndoa imekwisha.
Chonde chonde kwa wenye nafasi bungeni wapeleke huu msawada bungeni ili tuweze patiwa ndoa Ya mikataba.
Hahahaha....hadi wewe wamekutoa pangoni.Labda hiyo ni tatizo kwa ndoa zisizo za Kiislam, ndoa zote za Kiislam ni mkataba "Aqd".
Uko kwenye ndoa?
Unaogopa kufa mapema?
Kama hajaingia kwwnye ndoa usiingie. .... sababu uwe nazo mwenyewe sio za kuambiwa na mtu.
Kama hujaingia na unataka kuingia kwwnye ndoa tafuta uzi wa BAK kuhusu utamu wa ndoa hapo changing na zako katoe mahari weka mke ndani.
Na bora zisitambulikeUzuri ni kwamba ndoa za mikataba hazitambuliki kwenye sheria ya ndoa ya Tanzania