Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Kutoka na hali Ya maisha Ya ndoa Ya nyakati hizi,kuna umuhimu sana ikapelekwa bungeni mswada wa kupitisha ndoa Ya mkataba kwa sababau zifuatazo :
Kwanza katika research niliofanya, nimegundua katika kaya nyingi sana wanaotangulia kufa mepema ni wanaume kwa asilimia 97% .
Na miongoni mwa sababu inayosababishia wanaume watangulie kufa ni pressure,strock ,magonjwa Ya moyo na kuparalize gofla kutokana na mshtuko,stress na msongo wa mawazo unaosababishwa na wake zao.
Na kutoka na nature Ya ndoa tunazofunga makanisani inakuwa vigumu kwa mwanaume kuvunja ndoa endapo emekutana na mazingira kama haya, hivyo kungekuwa na ndoa ya mkataba ingemsadia mwanaume au mwanamke kuvunja au kuachana na hyo ndoa kama tayari ameona inamletea stress,inamnyima amani na kumletea msongo wa mawazo.
Faida nyingine Ya ndoa Ya mkataba, inaleta heshima kwenye ndoa, yaani mwanamke hatakuwa msumari wa moto ndani ya nyumba kwasababu anajua fika akizingua mkataba ukiisha na ndoa imekwisha.
Chonde chonde kwa wenye nafasi bungeni wapeleke huu msawada bungeni ili tuweze patiwa ndoa Ya mikataba.
Kutoka na hali Ya maisha Ya ndoa Ya nyakati hizi,kuna umuhimu sana ikapelekwa bungeni mswada wa kupitisha ndoa Ya mkataba kwa sababau zifuatazo :
Kwanza katika research niliofanya, nimegundua katika kaya nyingi sana wanaotangulia kufa mepema ni wanaume kwa asilimia 97% .
Na miongoni mwa sababu inayosababishia wanaume watangulie kufa ni pressure,strock ,magonjwa Ya moyo na kuparalize gofla kutokana na mshtuko,stress na msongo wa mawazo unaosababishwa na wake zao.
Na kutoka na nature Ya ndoa tunazofunga makanisani inakuwa vigumu kwa mwanaume kuvunja ndoa endapo emekutana na mazingira kama haya, hivyo kungekuwa na ndoa ya mkataba ingemsadia mwanaume au mwanamke kuvunja au kuachana na hyo ndoa kama tayari ameona inamletea stress,inamnyima amani na kumletea msongo wa mawazo.
Faida nyingine Ya ndoa Ya mkataba, inaleta heshima kwenye ndoa, yaani mwanamke hatakuwa msumari wa moto ndani ya nyumba kwasababu anajua fika akizingua mkataba ukiisha na ndoa imekwisha.
Chonde chonde kwa wenye nafasi bungeni wapeleke huu msawada bungeni ili tuweze patiwa ndoa Ya mikataba.