Ndoa za kijinga mtu usicheke na mwanamke wala kumkumbatia wakati wa salam kwa hadhi ya urais, ni ujinga bora ndoa ife kuliko kuishi kwa uoga wakati hutendi uzinnzi
Chanzo cha habari Tabloid ya udaku.
View attachment 129766 View attachment 129767
Binafsi sioni ubaya katika picha maana ni social ya kawaida, vinginevyo amekuwa na sababu nyingine hivyo anatafuta pa kuanzisha sokomoko. Hawa wanawake wa kimarekani taabu tupu.
Huyo mwanamke anaonekana ana gubu kweli,hapo anataka kukomba umaarufu wa mwisho mwisho apewe chake aanze.kuna kosa gani Obama kuchart na mwanamke mwingine.yaani ina maana kwasababu wameenda wote basi ni waongee wawili tu?too low
Unaweza kugundua kitu kwamba Obama kila aendako naye yupo bega kwa bega, anaonekana ana wivu usio wa kawaida.
Yaani habari za ndugu zake Shigongo wa USA sijui, unazileta hapa? Khaaaa!!!!!
Ndiyo hizi za 2Pac ameonekana mzima au Michael Jackson anafanya Shopping hapa SIKONGE.
Iliwekwa jukwaa jingine lakini waratibu wa majukwaa wameihamishia hapa. Hata hivi hizi si habari za kudharau, kuna viashiria vingi na hata unaweza kusoma picha jinsi Michele Obama alivyofanya reaction katika tukio lile.
Umeambiwa hiyo ndoa iko juu ya mawe tangu siku nyingi na makaratasi ya kuachana yalishatengenezwa na watu walishatengana vyumba vya kulala; hayo ya kwa mandelea yametia tu chumvi kidonda na kumfanya mkewe aone kero hata kumstahi kwa ajili ya mitoko ya kisiasa. Wanavumiliana kwa ajili ya watoto na mitoko ya kisiasa zaidi ya miaka miwili sasa haijaanza leo.Huyo mwanamke anaonekana ana gubu kweli,hapo anataka kukomba umaarufu wa mwisho mwisho apewe chake aanze.kuna kosa gani Obama kuchat na mwanamke mwingine.yaani ina maana kwasababu wameenda wote basi ni waongee wawili tu?too low
View attachment 129745 View attachment 129746​ View attachment 129753 View attachment 129755 View attachment 129756 View attachment 129745 View attachment 129758 View attachment 129759 View attachment 129760
American women are fragile handle with care like and egg
WASHINGTON - Michelle Obama has had enough. According to a bombshell new report, the First Lady and Barack Obama are sleeping in separate White House bedrooms. Michelle is also preparing to boot her hubby of 21 years out of their ritzy Chicago home - and seriously discussing divorce.
"The smart money says the marriage is doomed," a source told the National Enquirer. "Barack and Michelle have had a rocky go for years and mainly stayed together for their daughters and his political career. "But now Michelle is mad AS hell. She feels violated in front of the whole world, and screamed at him, ‘I've had enough.' "She's met with divorce lawyers and told Barack that she wants a life apart from him. "Michelle will stay in the White House for the rest of Barack's term for appearances' sake, but she made it clear they'll be leading separate lives.
"She's moving into one of the vacant bedrooms in the family's private living quarters, and she's preparing to move his clothes and personal things out of their million-dollar house in Chicago." Michelle was left furious after Barack was photographed brazenly flirting with Denmark's dishy female prime minister, Helle Thorning-Schmidt, during the service for former South African president Nelson Mandela. Obama, 52, laughed and whispered with the 46-year-old Danish beauty throughout the solemn ceremony, at one point cavalierly caressing her shoulder. "Barack already had enough headaches with his public approval rating plummeting after the disastrous rollout of his ‘Obamacare' health plan. Now he's walked smack into the worst marital crisis of his life," said the White House insider.
Picha zinadanganya sana. Hebu angalia Video....
Hii habari ina ukweli, obama muda si mrefu itabaki historia na michelle!
Nawanajua revenge wewe wewe.Hapo Obama ajipange haswaaaa.michelle atansafisha haswaaaa na atamkomesha.wanatunga story hao .Ndio maana black American man walio na pesa wanaoa mataifa mengine .Wanapenda kuomba pesa mtumeee.Pamoja na ukweli fulani kuhusu hilo, mood ya Michele ina dalili nyingi za wivu wa kike kwa mumewe. Binafsi sioni ubaya alifanya obama ni social activity tu, lakini kwa wanawake wa kimarekani balaa usiombe vinginevyo ukiambua kuwa naye basi hakikisha upo chini ya himaya yake full kifungo vingienvyo makubwa kama haya yataibuka bila matarajio.
Nilipokuwa huko masomoni na pia kuchakarika na kupata cha mlo baada au kabla ya darasa, wakisha kukufahamu wanajaribu kila njia kukuingiza kwenye line, hawaoni haya kukutongoza na kabisa kukutamkia ndoa kabisa. Wakishindwa hata familia inafanya jitihada kukuingiza kwenye line. Binafsi nilikwepa mitego hiyo kwa njia zote na nikafanikiwa. Walionasa wengi wao wanajutia.
Kuna jeuri nyingine ni kukutegeshea mahusiano kisha uzae mtoto au watoto kwani kwao ni biashara inalipa sana, maana licha ya za kutoka serikalini kwa matunzo ya mtoto kama hana kipato cha kutosha, child support nayo ni deal, mtu mzima mzima unafanya kazi na kwenda kuzipeleka kila wiki kwa mama mmlarekani. Balaa sana hawa watu.
Namshukuru Mungu nilishinda vita hivyo, maana wakiona una kibarua na kidogo unaonekana kuwa na mvuto hutakosa urimbo wa ndege kuja kujasa kila kukicha kukichwa.
I believe in my heart Obama is gay .Anashabikia Sana gay life .Ukiona CNN ,fox news wana Wink ujue somebody is leaking the info kuona reaction ya watu .My heart goes out to Michelle Yaani " obama akiamua kusema gay itakuaje?
Ha ha ha! This is a mere fabrication.