Ni PM dear
sasa mbona hukuniambia siku zote hizo....walahi ningekutia ndani.
Dah e bwanae mapema yote hii tayari ushaanza kutafuta shamba la kukodi??? Subiri walau ndoa iwe na mwaka mmoja hivi:sly:
Mkuu hapana..huyu ni jirani yangu kabisa toka sikunyingi
kumbuka pia na wewe una a big role to play ukipewa vitamu na wewe ukumbuke kutoa sio unakuwa recipient tuu. si unajua it takes two to tango!! All the best.
yani una wivu kwani umekwambia namkodi
hahahhha welkamu to ze world mwisho mwaka 1 tu. baada ya hapo kama ulikuwa hujui kuwa ananuna basi ndo utamshuhudia
Unamaanisha kitandani au kuna kingine NamnyakNancy
Jamani nilisahau kuwaambia nilioa mwezi wa kumi na mbili. Nimeona nitulie tu maana hizi papuchi haziishi utamu kadri unavozila ndio unapata hamu zaidi.
Sasa najiuliza ni mwanzo tu au nitegemee suprice uko mbeleni..maana...hubby umeshakula..hubby chakula tayari...na hilo neno hubby mpaka nilizoee. Ngoja tuone.