mamsapkhan
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 843
- 267
Jamani nilisahau kuwaambia nilioa mwezi wa kumi na mbili. Nimeona nitulie tu maana hizi papuchi haziishi utamu kadri unavozila ndio unapata hamu zaidi.
Sasa najiuliza ni mwanzo tu au nitegemee suprice uko mbeleni maana hubby umeshakula.Hubby chakula tayari na hilo neno hubby mpaka nilizoee. Ngoja tuone.
Hongera sana hz huby zitaendelea tu na ww ukiwa unazihitaj namaanisha ukidumisha upendo uvumilivu na kusamehe ndo njia pekee ya kufika