benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,069
- Thread starter
- #21
kuoa lazima ni hitaji la kila mwanadamu unaweza ukabishaaaa weeee but iko siku tu utaoa na kutulia cha msingi usichoke kuwa na mawasiliano naye inakuwa rahisi sana kurekebisha tatizo mapema linapoanza tu kujitokeza. maana sisi ni binadamu sasa yeye akinuna ukiona hivyo lazima kuna jambo lako limemkwaza na kuzungumza anashindwa inabidi atumie lugha ya vitendo. so kuwa makini kusoma lugha yake ya vitendo na mzungumze haraka muwezavyo na siyo na wewe unaamuwa kununa haitosaidia. benteke
Mrs. Amoo hasante sana kwa ushauri wako
Last edited by a moderator: