Hongera mkuu na usiogope, matatizo ni dharulamkuu hamna jinsi..nimeona niowe tu..liwalo na liwe.
Afu wewe mbona unanichimba mkwara ivo....
Dina hasante..haaha sasa ivi zitakua za ndoa..ila msitegemee nijenilelie uku. ntaleta mambo mazuri tu
Maisha ya ndoa yana raha na starehe kama ukibahatika kumpata mwenza sahihi na anayejua maana ya ndoa ambaye atakufanya ujute kwanini ulichelewa kuoa au kuolewa...lakini ndoa hiyo hiyo hugeuka kuwa mfano wa gereza lenye mateso makali na maumivu tele endapo utaangukia katika mikono ya shetani aliyevaa ngozi ya binaadamu.....hapo ndipo mtu anapojuta kuolewa au kuoa.....
Ni PM dear
niambie basi nini hicho...utakua hujanisaidia unajua.
Kweli mkuu nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa.....Kabisa..ila nimeona nisianza maisha haya mapya kwa kuwa na mtizamo hasi... nitamuomba sana Mungu na najua kifo ndio kitatutenganisha