😂😂😂😂😂😂 hapo ndio kwanza wapo honeymoonhahahhha welkamu to ze world mwisho mwaka 1 tu. baada ya hapo kama ulikuwa hujui kuwa ananuna basi ndo utamshuhudia
mhakikishe hamfukuzwi kazi tu maana hilo neno hubby litageuka punda😂😂😂kingine; kama sasa hivi hubby ni nyingi....baby umekula...anakupikia vizuri sana...anakupokea ukirudi....hivi vyote vinote down...baadae akianza kujisahau tu MKUMBUSHE!!! ili arudi kwenye mstari na kurekebisha alipokosea. karibu kwenye ndoa kaka ni tamu si uwongo.