Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,187
Anayoyatoa huyu ni machozi ya furaha ya kumpata kimwana na kumweka chini ya himaya yakeFashion siku hizi, siku zote wanalia wadada, sasa hivi ni njemba zinalia
Anayoyatoa huyu ni machozi ya furaha ya kumpata kimwana na kumweka chini ya himaya yakeFashion siku hizi, siku zote wanalia wadada, sasa hivi ni njemba zinalia
Hahahah tumshauri nn? Analo hilo jamaa anajijua chokambaya walet haisom afk anamwoa nata....alomwambia nata anataka mwanaume surual nan? Afu nahis huyo ni King'asti nata hawez olewa na african guy kwan wana hard looking...
mke mwema hutoka kwa bwana, ukimpata mwanamke kwa utashi wako mwenyewe you are in for it
Bwana harusi anajifuta jasho ila kafanana na @zembwela
Na mimi nilikuwa najiuliza mbona jamaa kama Zembwela huyu......