Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
Nampa pole sana huyu ndugu, lakini hapa inaweza kuwa mengi,
-historia ya mwanamke kimapenzi kama aliwahi kubakwa au alikuwa bullied na mwanaume mwingine na au alikuwa na mtu wake mwingine ambaye hawajaachana na aliolewa na huyu tu kwa utashi wa kuonekana naye ameolewa.
- Pia kama wamesoma nina hakika mama anaweza kutunza tarehe anapokuwa hedhi, ili ajue danger na safe days, kutumia kondomu inaweza kuleta shida kwa namna fulani, wanawake wengine hudai zinawaumiza, hilo liangalie kwa busara.
-mwisho jamaa abadili mazingira aende hata honeymoon kwa siku mbili na siku hizo wakae na kushinda chumbani tu wakiwa utupu na aandae mazingira ya kimahaba tu. Kondom isiwekwe kwenye mazungumzo hata kidogo.
-historia ya mwanamke kimapenzi kama aliwahi kubakwa au alikuwa bullied na mwanaume mwingine na au alikuwa na mtu wake mwingine ambaye hawajaachana na aliolewa na huyu tu kwa utashi wa kuonekana naye ameolewa.
- Pia kama wamesoma nina hakika mama anaweza kutunza tarehe anapokuwa hedhi, ili ajue danger na safe days, kutumia kondomu inaweza kuleta shida kwa namna fulani, wanawake wengine hudai zinawaumiza, hilo liangalie kwa busara.
-mwisho jamaa abadili mazingira aende hata honeymoon kwa siku mbili na siku hizo wakae na kushinda chumbani tu wakiwa utupu na aandae mazingira ya kimahaba tu. Kondom isiwekwe kwenye mazungumzo hata kidogo.