Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
- Thread starter
- #61
Kidogo naweza changia, kondom ni sawa na ubakaji. Unajua sometimes wanawake tukikaribia siku zetu au kumaliza huwa hatuna hamu yakufanya tendo, imgine huna hamu ya kufanya na mtu anakuja na condom inakuwaje kasheshe.
Pili huyo bwana nafikiri huwa hamwandai mkewe kisaikolojia ili awe fully involved kwenye tendo, nayo pia inaweza mwathiri mama. waende vituo vya afya wafundishwe jinsi gani ya kuhesabu wasipate mimba na bwana aanze kufanya tendo la ndoa bila condom nafikiri watafanikiwa + msaada wa Doctor Nguli. Nimependa ushauri wako na mimi pia umenisaidia.
Thx
Asante sana Mkuu Caroline D,
Kweli Condoms si njema, sipendi hata mimi. Naweza kutmia tu pale ambapo najua ni danger days (maana njia nyingine ya kutoa jamaa nje nayo ni ngumu kidogo).
Kuhusu mume, awali ilikua ni tatizo katika mapenzi maana kwa taarifa za uhakika hakuwa ni mtu wa wasichana sana wakati anasoma.