escrow
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 371
- 321
Salaamu wakuu.
Naomba ushauri wa kiafya JF doctor.
Ni muda wa siku tatu sasa najisikia hali ya mgongo kuchoka, kichwa kuuma, mkojo unauuma napokojoa, halafu usaha mweupe kutoka Kwenye Penis.
Nipo kwenye ndoa na baada ya hali kutokea nilihisi kupata zinaa nikamuuliza mke wangu akasema haelewi.
Kwa muda nilikuwa nimesafiri nimerud ndani ya siku tatu hizo na kushiriki tendo na mke.
@JF doctor
Naomba ushauri wa kiafya JF doctor.
Ni muda wa siku tatu sasa najisikia hali ya mgongo kuchoka, kichwa kuuma, mkojo unauuma napokojoa, halafu usaha mweupe kutoka Kwenye Penis.
Nipo kwenye ndoa na baada ya hali kutokea nilihisi kupata zinaa nikamuuliza mke wangu akasema haelewi.
Kwa muda nilikuwa nimesafiri nimerud ndani ya siku tatu hizo na kushiriki tendo na mke.
@JF doctor