Je, kuna Wakati kwenye ndoa mnazoeana sana kiasi cha tendo la ndoa kuwa kero?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,059
10,522
Pengine hii ndio sababu kuu ya wake na waume kuchepuka nimejaribu kuwaza mfano umekaa na mume au mke wako kwa miaka kumi na kuendelea ndani ya kipindi hicho chote mmekua mkilala kitanda kimoja mnajuana kila sehemu kama yule mtangazaji aliyesema nimemkojolesha kwa miaka kumi na tano kwa tafsiri ya Cuba ni kuwa hicho kikojolea alikizoea at the point kwamba hakikuwa na maajabu yoyote tena, uwepo au kutokuwepo kwake hakuna effect yoyote.

Kwa akili zangu ndogo ninashawishika kukubali kuwa mkizoeana sana tendo linakosa thamani yake ndio hapa mtajaribu vitu vipya ili kulipa tendo hadhi yake still mtarudi pale pale mlipoishia ndio hapo sasa watu wanaanza kukumbuka ma Ex wao kama availability ya Ma Ex haiexist ndio hapa vijana wa kula tunda kimasihara wanapita na huo upepo.

Naamini kuna baadhi ya ndoa hazina michepuko kabisa kwa both sides ila ni chache na pengine zilipaswa ziwe na michepuko ila kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao zikawa hazina michepuko

Remember mtu kuandika kuhusu uhalisia uliopo haimaanishi anahamasisha usaliti sababu usaliti ulikuwepo, upo na unaendelea kuwepo yote yapo katika nguvu ya kujua.

Mungu tunakuomba bariki ndoa za watu wape ujasiri wake na waume za watu wakukataa uasherati maana tamaa zinawaponza wengi.
 
_20231120_185110.JPG
 
Tuakiachana na kuchokana kuna hii ishu ya mabadiliko ya kimaumbile ambayo yanaweza yasikuvutie mfano umemuoa mke yupo kipotabo lkn baada ya miaka kadhaa anaanza kuwa bonge na kitambi juu ( hii pia kwa wanaume inawakuta).

Sasa hapo usipokubali hayo mabadiliko ya mwenza wako unaweza kujikuta unatoka nje kutafuta type yako
 
Sijui kama ni sahihi kwa wote ila ukikaa ndoani miaka zaidi ya 25 unaona kabisa kuwa ngono ni sehemu tu ya ndoa.

Mkeo matiti yamelala kama ndala ila anakuwa na thamani kuliko mrembo yoyote mwenye shepu zuri, sijajua hutokana na nini, tena ukizini ile umemaliza tu unamuwaza mkeo hutataka hata kumuona huyo uliyezini naye na akikaa vibaya unaweza mtukana kama ni wale wa kutaka ung'ang'anizi.

Nadhani kuna bond kila mwaka mnaovuka wa ndoa hua inajengwa na baada ya miaka mingi si shape wala sura inaweza vunja hiyo bond.
 
Mtoa mada kuna ukweli ndani yake lakini haupaswi kusema. Dining ilipokataza zinaa ni kwamba uwe na noway out na mwenza wako. Yaani no matter what we u deal naye huyo huyo tu.

Ukichunguza Wana ndoa wengi watakwambia wanaenda kimoko tu. Yaani alimradi akojoe tu mambo yaishe.
Kuna wakati unaweza jihisi una upungufu wa nguvu ila ukimtafuta x wako tu mpambano utakua heavy.

Anyways mambo mengine si ya kuyaongelea ni kuyapotezea tu.
 
Sijui kama ni sahihi kwa wote ila ukikaa ndoani miaka zaidi ya 25 unaona kabisa kuwa ngono ni sehemu tu ya ndoa.

Mkeo matiti yamelala kama ndala ila anakuwa na thamani kuliko mrembo yoyote mwenye shepu zuri, sijajua hutokana na nini, tena ukizini ile umemaliza tu unamuwaza mkeo hutataka hata kumuona huyo uliyezini naye na akikaa vibaya unaweza mtukana kama ni wale wa kutaka ung'ang'anizi.

Nadhani kuna bond kila mwaka mnaovuka wa ndoa hua inajengwa na baada ya miaka mingi si shape wala sura inaweza vunja hiyo bond.
Upewe maua yako
You are exceptional,wenzio hawaoni hivi
 
Upewe maua yako
You are exceptional,wenzio hawaoni hivi
Mkuu, Unajua miaka ya hivi karibuni kuanzia 95-2000 hapo ndo tatizo sana. Watu wa 70's tatizo si kubwa kama miaka ya sasa.

Ukiona mwanaume anathamini wowowo kubwa kuliko mke anayepiga magoti akiomba MUNGU abariki kazi za mikono yake chunguza umri. Ni late 80's kuendelea mpaka 90's na 2000.
 
Mkuu, Unajua miaka ya hivi karibuni kuanzia 95-2000 hapo ndo tatizo sana. Watu wa 70's tatizo si kubwa kama miaka ya sasa.

Ukiona mwanaume anathamini wowowo kubwa kuliko mke anayepiga magoti akiomba MUNGU abariki kazi za mikono yake chunguza umri. Ni late 80's kuendelea mpaka 90's na 2000.
Ni kweli huyo mke anapiga magoti kuomba mungu?? Wanawake wa Social network focus yao kubwa ni muonekano na kupata likes
 
Mtoa mada kuna ukweli ndani yake lakini haupaswi kusema. Dining ilipokataza zinaa ni kwamba uwe na noway out na mwenza wako. Yaani no matter what we u deal naye huyo huyo tu.

Ukichunguza Wana ndoa wengi watakwambia wanaenda kimoko tu. Yaani alimradi akojoe tu mambo yaishe.
Kuna wakati unaweza jihisi una upungufu wa nguvu ila ukimtafuta x wako tu mpambano utakua heavy.

Anyways mambo mengine si ya kuyaongelea ni kuyapotezea tu.
NAKAZIA
 
Back
Top Bottom