Ndoa ni tamu sana

Hongera sana, hilo la mchepuko mstaraabu inajulikana wazi kuwa mwanaume wa kiafrika asili yake wanawake wengi akiweza kuwa na mmoja tunapiga makofi, akiwa na mchepuko basi apatikane huyo mchepuko mstaraabu ambaye hatavuruga syatem ya familia
 
Ndoa ni chungu mno.

Subiri miaka 6 ndiyo utaelewa nini ninacho maanisha.
 
Kwa kweli ndoa tamu sana hasa ya kikristo ambayo haina uwezekano wa kuachana hivyo kusaidia kila mmoja kuiboresha maana hamna jinsi nyingine hasa kama wote wameokoka.
 
Asante kwa positive hii kuhusu ndoa...

Hapo kwenye kumpata mtu sahihi tumruhusu Mungu ahusike
 
Well Said
 
Hao wanaosema wanatamani kutoka waongo tu wanaishia kusema ila hawatoki, lakini pia mkuu mtu akishindwa biashara ukaenda kumuomba ushauri unafikiri atakuambia kuwa biashara inafaida?
Sure waongo sana. Wanatamani kutoka si watoke tuone? Ndo ni kuvumiliana kuna ups and downs ila yote ni maisha. Huko nje napo hapakamatiki watu wana haha
 
Kwa kweli ndoa tamu sana hasa ya kikristo ambayo haina uwezekano wa kuachana hivyo kusaidia kila mmoja kuiboresha maana hamna jinsi nyingine hasa kama wote wameokoka.
Ni tamu Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…