Ndoa ni tamu sana

Wengi hawazungumzi mazuri yanayopatikana huko
Aiseee mkuuu ukweli utabaki KUA pale ,,Ndoa nitamuuuu sanaaaaa yaaaan nitamu mnooooooi.


Wanaolalamikia ndoa ,ujue kuna mambo wanayafanya ambayo hata Minh hayapendi....

Ndoa aliianzisha Mungu ...Mungu haanzishigi kitu kibaya ktk maisha yetu maana ANATUPENDA KUPITILIZAAA.
 
Hakika ni watu wachache wasioelewa wanajaribu kupotosha ila kiukweli ndoa ni tamu hasa ile ambayo unaishi maisha yako si ya kushindana na wengine, wala si ndoa ya maonyesho ina utamu wake
 
Hakika ni watu wachache wasioelewa wanajaribu kupotosha ila kiukweli ndoa ni tamu hasa ile ambayo unaishi maisha yako si ya kushindana na wengine, wala si ndoa ya maonyesho ina utamu wake
Kabisaaa....ukiona MTU anakuambia "" Ndoa mbaya ,,nataman nitoke ,,oohhh ndoa nikama chooo ,ukiwa nje unataman uingie ukiwa NDANI unataman utoke ***

MTU wanamna hiyo msikilize alafuuu moyoni mfananishe na MTU aliyeshimdwa ....sio kitu Bali mpotezaji ,,alafu ukija kuangalia utagundua Anamatatizo chungu nzima ...


Ila ninachokiamin Mimi nakamwe hakitobadilika ,,Ndoa nitamu ,,Nitampenda mke Wangu , nitamheshimu ,,nitamjali ,nitamlea km mtoto kama ambavyo maandiko yameniitaji nimfanyie .
 
hahahha [emoji23][emoji28][emoji23] kama umeoa kwasababu za usiku tu lazima jasho likutokee hiyo asubuhi
Hahaha hakika lazima jasho limtoke ili usiku uwe mtamu lazima mchana uwe mtamu pia
 
Ukijitahid kumfanya mwenza wako rafiki yako michepuko watakaa mbali na mumeo maana muda wote atataka muongozane na muwe pamoja popote
Matatizo yetu haya ya kiuchumi bakuli la nyama mnashare watu sita ugali mlima, baada ya watoto wawili una kukuta tumbo kule, unatupia madera, mkitoka mume anakwambia tangulia ninakuja. Kama ni restaurant atahakikisha umekula umemaliza wewe na wanao akija analipa bill mnarudi nyumbani.

Huwezi kulalamika hunitoi
 
kwanini uoe kama hujui mtaishije..!!
mkiwa wawili mmeridhiana hakuna kinachoshindikana.
.wengi wanaogopa kuoa maisha MAGUMU....NA SIO KUACHWA..wanawake wapo kibao....unaweza ukaacha leo ,,ukaoa ksho....tatizo ASUBUHI MKUU
 
Mwanaume ni mbaya sana katika ndoa hasa kila ikifika mwisho wa mwezi,atakamuliwa njee zikiisha ndo anarudi ndani anakuita baby, ovyooooooo,wanaume mungu anawaona,yaani mwanaume akishapata hela anawaza kuchepuka tu!!!!
 
Sante kwa kututia moyo..! Ingekuwa ni possibly kuingia mwenyewe ningeoa leo ila sasa namuoa nani hapo sasa duuh bora nikae tuu kwanza.
Mtoa hoja Mungu wetu si wa michanganyo. Kama mtu amekuwa mwaminifu kwa Mungu hilo suala la mchepuko mstarabu halipo, huo ni uzinzi tu kama ilivyo kahaba/mzinzi yeyote hakuna cha ustarabu, atendaye dhambi ni wa ibilisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…