Ndoa ngumu jamani

Huyo rafiki ako anakiburi sana.. leo elimu ni bora kuliko mume kweli.. inatakiwa ifike kipindi aishi kama matured person mbona ana behave kama mtoto wa secondary? Nawe unaona nani aba makosa? Maana unataka sasa kuekekea upande mmoja kwasababu unamwambia avumilie ye alikwambia anateswa? Au kwa maamuzi hayo ya mumewake unaona ameonewa? Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Ndoa kwanza Elimu baadae.
 

Kwa ujeuri huo ana mchepuko.
Huwezi leta jeuri ya namna hiyo kwa anayekusomesha.
 
Ariella A.K jamaa naona kampamba na kumtetea kana kwamba yeye ndo huo mchepuko wa huyo dada
 

Mimi nashauri huyo mwanamke aachane tu na huyo mumewe sidhani kama ana mapenzi ya dhati kwa huyo mwanaume inaonesha kwa sasa anachodowea ni ada tu akimaliza chuo atatengeneza mazingira ya kuachana. Bora akajiondoa mapema kabla hajamchuna sana huyo 'buzi' wake, hao michepuko nao wabebe mzigo wa kulipa ada kidogo wasidowee vya bure.
 

All I can say ni kwamba huyo mwanaume aliekuoa wewe, ana bahati sana! Hopefully mnaelewana sana with your hubby, na inaonekana ndoa yenu ipo imara! Thumb up my sister.

Siku hizi... kupata mwanamke kama wewe ni nadra sana! Most of women (hasa wenye kisomo) siku hizi wana kiburi na jeuri sana, yaani hawaoleki na wanaachika sana. Alafu they end-up blaming us kwamba eti oooh siku hizi waoaji hamna, wakati kumbe wao ndo uozo!!

Aaaaarggh I will marry when I want!!!
 
huyo rafiki yako hajua afanyalo,,,,,mwache asikilize moyo wake coz kabla hajakwambia alishaamua.....mwambie ahamie kwako kabisa....
 
Hata mm nimethibitisha wanawake wasomi ni pasua kichwa, utakuta ulijitahidi aondokane na ujinga akishakuwa mjanja anataka ufate yale anataka hata akikuletea mwanaume akakutambulisha ni ndugu yake ukubali tu wala usiulize
 

Acha kushaur upumbavu,jiweke nafasi ya mtendwa(mwanaume)...hujui maumivu ya mapenzi haswa ndoa tulia,nyie ndo huwa mnapigwa risasi...hamfadhiliki,mnashindwa kujiheshimu...


Hao ndo wale wale waharibifu na wapenda vya bure wanajipa matumaini
 
Naomba umwambie huyo dada asiache chuo huyo mwanaume ana makubwa anayofanya lkn mkewe hajawai ona tu sasa akitaka kuwa house girl aache chuo ,simama mwanamke imara usitetemeshwe na maisha ya leo jua ya kesho .

Unasema simamia maisha ya kesho ni yapi? Kifupi maisha unayaaishi sasa ndio yako. Unadhani mumewe hataki mkewe asome? Ebu soma uzi.. Mi nimeona ametoa option 3 moja wapo bado aendelee na masomo. Ajira ya kwanza ni mume weka kichwani, hakuna mume mwenye mapenzi ya kweli kwa mkewe ambae huchoka kumhudumia, elimu ipo tu na inasaidia sana katika kufikiri na kutatua matatizo.

Maelewano na hasa kutambua nani ni kiongozi wa familia huepusha mikwaruzano kama hii, unasoma sawa lakini unandoa tayali, kwani ndoa sio muhimu?

Naona kuna shida ya mawasiliano na utii lakini sioni ugumu wa ndoa hapo. Labda usaliti uchikue mkondo.
 

huyu sio wife material!!! mlimbukeni wa elimu....kuna jamaa alisema bora kuoa form4 au la saba kuliko hawa stress
cc Viol
 
Last edited by a moderator:

So smart
 

Nimependa busara zako mama!! wanawake kama wewe ni wa kutafuta kwa tochi!! dahh acha tuendelee komaa na hawa kama huyu aliyeletwa na mleta mada naamin tutapata kama wewe siku moja!!!
 
Ndoa sio ngumu ila kuna wapumbaf wachache wanafanya ionekane kuwa ngumu. Unajua vijana weng wanaingia kweny ndoa huku hawana elimu yyte inayohusiana na ndoa. wanafikiri ni kugegedana tu. Lkn ndoa zaid ya tendo la ndoa.
Huyo rafiki yako ana matatizo najua utabisha lkn ukweli ndio huo km ilikuwa sms ya kawaida mbona mumew alimind? Na kwann kipind amekamatwa na sms hakuomba msamaha?
Mumewe ana wivu wa kias tena anampenda sana mkew ndio maana alimruhus aende chuo na kumlipia ada.
Yaan unakamatwa na sms halaf unakuja juu. Hata km mm lazima nimind.
Mm unavyoniona ninapomkosea mwenzangu huwa najishusha na kuwa priton.
Siku zote ukiona migogoro haish halaf haina kichwa la mikia ujue tayar umeshapata mwenzako. Mm nafikir huyo shost yako keshapata mtu sio bure kbs kuna mtu anamtia kibur huko chuo ndio maana kang'ang''ania
Mwambie akae na wazee wazungumze. Ila huyo shoga yako ana matatizo mwambie aache ujinga atatesa watoto.
"MKE HASOMESHWI naona km kuna ukweli ktk sentensi.
 
Ushauri wa nin wakat nduguyo keshapata maamuzi sahihi kwake
 
Mimi nina amini katika kumuheshimu na kumtii mume..(ki dini zaidi)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…