Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
sasa unaogopa nini ndg yangu, ndio ukweli ulivyo huo!!!!!! na hii ndio sababu kubwa ya wanawake kucheat kma ulikuwa hujui!
Kha!!! cha kufia presha na mawazo lukuki ndani kisa nini? ndio sasa wanaume wajue ubaya wa kuwasaliti wake zao, na mume wa hivo inafaa kumzalia katoto kamoja ambako si kake halafu akikua ndio unamwambia ili na yeye apate uchungu kama alioupata mke kwa yeye kuzaa nje ya ndoa....mxiuuuuu
Hakyanani mama J usije jiunga na Jf