Napenda kufahamishwa ni mambo gani ya kuvumilia katika ndoa na yapi sio ya kuvumilia?(Yaani yapi yakitokea ndoa ife? na yapi ya kusamehe)
Unawezaje kumsamehe na kuendelea kuishi na mwanaume ambaye amezaa nje ya ndoa tayari akiwa katika ndoa?
Inamaanisha nini watu wanaposema vumilia katika ndoa kwa ajili ya watoto?, eti usiwe m-binafsi kujiangalia mwenyewe.
Na maneno kama simama upiganie ndoa yako. napiganaje?
Je ni mwanamke pekee ndo anahitajika kupigania ndoa yake?
Unawezaje kumsamehe na kuendelea kuishi na mwanaume ambaye amezaa nje ya ndoa tayari akiwa katika ndoa?
Inamaanisha nini watu wanaposema vumilia katika ndoa kwa ajili ya watoto?, eti usiwe m-binafsi kujiangalia mwenyewe.
Na maneno kama simama upiganie ndoa yako. napiganaje?
Je ni mwanamke pekee ndo anahitajika kupigania ndoa yake?