The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
- Thread starter
- #21
Ok sawa unamuoa mke wako au mchumba wako?
Usijipe presha bure kudai michango. Km uwezo hauruhusu mnaweza kwenda nyinyi na wanafamilia tu, ndoa ikafungwa na mkapata baraka tele. Mbwembwe si lazima sana.
Ila, all the best.
Mie nina elfu 5 kwakuwa hupokei basi.
Sio kwamba unachanga pesa ya kununulia vitz kweli,anywei ol the best..
Hahaha hahhaha,muulize atakwambia tu..home taarifa wanazo
kuoa uoe wewe,michango tuchange sisi? Haki kweli hii?
Waswahili bana longolongo nyiiingi, jamaa kaomba hela nyie mnaleta porojo kama hamna si muuchune tu.
Bek to topik: Mkuu ukiona zimeingia dola elfu nne mia moja na hamsini ujue zinatoka kwangu. Ubarikiwe sana kwenye ndoa yako. aaaaamen!
Hahaha hahhaha,
Unajua mie niko hane muni kumbe hiuko mambo yenu yameshaiva mie huku sijui,
Jana usiku ndio kanijulisha bana,
Hongereni sana shemeji,
Mchango ntakutumia mwaya!
hahahahah ndio mfumo wa kiafrika, sisi tunauendeleza tu..ukioa bila kuchangisha hata kama unauwezo watu lazima wahoji why? ndio utasikia na maneno kama aa anajisikia, anajifanya anavihera...