Tumegoma kuwaachiaa... ππ!!Mambo yao waachie wenyewe...
Daaah kaka kakupa na dharau huna uwezo wa kumzalisha halafu yeye anataka aendeleee kuwasiliana na baba wa mtoto ambaye sio wakoπ₯²
Halafu anakunyanyasa kwa kukupiga tena na chupa basi mkuu wewe ni mpole sanaaaaa
USHAURI WANGU FANYA KILE UNACHOONA POA WEWE
Kama mzazi mwenzie alikupa onyo, ni vizuri ukamuacha huyo mwanamke ili kupunguza heka heka za hapa duniani. Ile kukupa onyo, kuna mazingaombwe yamefanyika kwa huyo mke. Nakushauri, muwekee mazingira akuache yeye, kisha oa huyo ulie zaa naye.
Huyu jamaa ni zuzu kweli kweli π π
Daaah kaka kakupa na dharau huna uwezo wa kumzalisha halafu yeye anataka aendeleee kuwasiliana na baba wa mtoto ambaye sio wakoπ₯²
Halafu anakunyanyasa kwa kukupiga tena na chupa basi mkuu wewe ni mpole sanaaaaa
USHAURI WANGU FANYA KILE UNACHOONA POA WEWE
Daaah kaka kakupa na dharau huna uwezo wa kumzalisha halafu yeye anataka aendeleee kuwasiliana na baba wa mtoto ambaye sio wakoπ₯²
Halafu anakunyanyasa kwa kukupiga tena na chupa basi mkuu wewe ni mpole sanaaaaa
USHAURI WANGU FANYA KILE UNACHOONA POA WEWE
Kama mzazi mwenzie alikupa onyo, ni vizuri ukamuacha huyo mwanamke ili kupunguza heka heka za hapa duniani. Ile kukupa onyo, kuna mazingaombwe yamefanyika kwa huyo mke. Nakushauri, muwekee mazingira akuache yeye, kisha oa huyo ulie zaa naye.
Unataka ushauri gani sasa? Wewe ni zamwamwa?Ndugu zangu ambao mpo kwenye ndoa naombeni ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu mwenyewe.
Nipo kwenye hii ndoa kwa miaka 11 ila mwanamke ambaye nilikutana nae alikuwa na mtoto tayari ila naomba niseme alikuwa mwenyewe na mtoto wa miaka 2 mwanaume wake alimkimbia, sasa baada ya hapo mwanaume wake wa zamani kufahamu huyu mwanamke ana mwanaume mwingine siku moja akaniambia kwamba huyu mwanamke huwezi kuja kumzalisha maisha yako yote hata iweje.
Ndugu zangu mpaka leo huyu mwanamke amepata mimba mara 3 ila zote zimetoka. Sasa baada ya hapo mwanamke akaanza kunidharau na kuniambia kwamba sina mbegu za kumzalisha. Me kama mwanaume nikapoteza confidence nikaenda kupiga nje na nimepata mtoto vizuri bila shida kabisa
Sasa amekuja kugundua kwamba me nimezaa nje ila nilivumilia mateso yote na maneno yote ya mateso na alikuwa muda wote ananidharau sana na kusema hata iweje umenikuta na mtoto na taka usitake siwezi kuacha kuongea na baba wa mtoto.
Akinikuta nakunywa anamwaga drinks zote kwenye sink.
Sasa jana usiku nimepigwa vyupa vibaya sana damu nyingi zimetoka sababu anataka tuwe tunatumia password moja, ameingia kwenye simu amekuta yule mwanamke mwingine mwenye mtoto amenitumia picha za mtoto.
Baada ya hapo akanitukania wazazi wote na kuwaita Idiots familia nzima pamoja na mimi...
Nilikuwa tu naomba ushauri nini cha kufanya ila tumeenda hospitali tumegundua zile mimba 3 alipata moja imeziba mirija yake ya uzazi so hawezi pata mimba kwa njia ya kawaida.
Naombeni ushauri wenu tafadhali kwa hili suala.
Je, bora niondoke?
Kwakwel π€£Hauna AKILI. Achana na huyo mke wa mtu tafuta wa kwako
Naomba ushauri tafadhali kama hutojali nitashukuru sana tena sana kaka....