Kuamini kwamba anaweza kubadilika na kumuonea sana huruma ndipo kunafanya wanaume tunapata maumivu makali kwa mwanamke.Asante sana kwa ushauri wako nashukuru sanaa ndugu yangu nimeshauriwa muda sana kuachana nae ila sijasikiliza kabisaaa.....ila nashukuru kwa ushauri wako na mwenyewe naona ndoa imekufa mda mrefu sana....
Bado haujakua mkuu.Nimekuta wameachana tayari... Na jamaa ana mwanamke mwingine kabisaaa na wamezaa huko aliko kwa sasa sasa hapo kosa lipo wapi hasaa??
Bila kuweka sababu za msingi nawe unatumia emotions piaMleta mada KAMWE usifuate huu ushauri.
Ushauri wangu ni uachane na huyo mwanamke vinginevyo mpo kwenye hatari kubwa sana ya kudhuriana.Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu asante sanaaa.....Na pia mwanamke hanilei ila zaidi mimi nina kipato kumzidi yeye....Nimeshajuwa uwamuzi wa kufanya wala hamna neno kabisaa....
Kaka anza taratibu ku invest kwako, tunza hela, jiweke mbali nae kihisia, na mtoe moyoni, kwa kifupi achana nae kimahesabu, sio kwa pupa, hakikisha uko tayari kiakili na kihisia unapomuacha, hapo ndo wanawake wanatuzidi mbinu, ruka huo mtego, otherwise, utapata presha na sukari.. labda na stroke, utakufa.
Kaka anza taratibu ku invest kwako, tunza hela, jiweke mbali nae kihisia, na mtoe moyoni, kwa kifupi achana nae kimahesabu, sio kwa pupa, hakikisha uko tayari kiakili na kihisia unapomuacha, hapo ndo wanawake wanatuzidi mbinu, ruka huo mtego, otherwise, utapata presha na sukari.. labda na stroke, utakufa.
Kaka anza taratibu ku invest kwako, tunza hela, jiweke mbali nae kihisia, na mtoe moyoni, kwa kifupi achana nae kimahesabu, sio kwa pupa, hakikisha uko tayari kiakili na kihisia unapomuacha, hapo ndo wanawake wanatuzidi mbinu, ruka huo mtego, otherwise, utapata presha na sukari.. labda na stroke, utakufa.
Mkeo humuwezi yupo juu yako,yani kakupanda kichwani then anarukaruka sasa atakuja kukuvunja io shingo na kupasua icho kichwa,,kwaio sasa utakufa amua akuue uyo mmama au umruhusu aende zake au ndo umempenda huelewi kumuacha huwezi maana ndo pumzi yako?
Heeeee kumbe kuna wanaume wanateswa hivyo yaani umerahisishiwa kabisaa hajakuzalia ingekuwa labda ni ngumu kwako kumuacha sasa mtu huna mtoto nae unajiuliza mara 3 chapa rapaa
Wanaume kumbe na nyie kuna mabwege nazi