Ndoa: Majanga ya wanawake waliosomea shule za Boarding

Ndoa: Majanga ya wanawake waliosomea shule za Boarding

Status
Not open for further replies.
Kwani wewe hukufindishwa matusi ukiwa praimare boarding?
Hiv boarding schools siku hizi zinatoa na vyeti vya 6kwa 6?

Dada huoni kama hapo issue ni malezi? Kwa hiyo hata kama wangesoma day hadi chuo kikuu, kama mama anaona mahausigelo wawili alionao na gardener wanatosha kumtumikia, hao watoto hata kuoga wangeshindwa. Tuongelee malezi. Kuna siku mtu alilalamika kukataliwa na wazazi wa mwanaume asiolewe akapewa jibu very harsh 'hamjajuaga wa level zenu'?. Yaani mie mtoto wa Mtambuzi, niende kujifolisha ini lavu na mtoto wa jk! Si ni kuitia stress tu familia yangu jamani? Hata siku ukiwaita kwako wakakope kununua dinner outfits!


Kama unapanga mbagala date mdada wa sinza ama tabata. Ukijiingiza kwa mdada wa masaki ambae anakaa kwa babake bahari iko hapo nje, utajitia karaha tu kuishi kwa kuimpress watu na kukopa kodi za nyumba benki ili uishi walau mikocheni ama upanga!
ni wazazi wachache sana ambao watoto wakirudi likizo huwa na muda wa kuwafunza house works. wengi wa wazazi hasa wa kileo huwa bize na kazi na hivi ukizingatia maisha yako kimjini zaidi, kwasababu mtu hata bustani huna, uwanja wa kufagia hakuna, nyumba ya kudeki ndo hvy kuna house girl wewe unategema huyu mtoto kazi atajifunzia wapi??

kama umeweza of which najua uliweza ni kwasababu ulidevote sana na hukuona uvivu kwenye kumfunza kazi.
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe hukufindishwa matusi ukiwa praimare boarding?
ahhahahhahahahhahah yake ya nyuma ya jiko?
Dada huoni kama hapo issue ni malezi? Kwa hiyo hata kama wangesoma day hadi chuo kikuu, kama mama anaona mahausigelo wawili alionao na gardener wanatosha kumtumikia, hao watoto hata kuoga wangeshindwa. Tuongelee malezi. Kuna siku mtu alilalamika kukataliwa na wazazi wa mwanaume asiolewe akapewa jibu very harsh 'hamjajuaga wa level zenu'?. Yaani mie mtoto wa Mtambuzi, niende kujifolisha ini lavu na mtoto wa jk! Si ni kuitia stress tu familia yangu jamani? Hata siku ukiwaita kwako wakakope kununua dinner outfits!


Kama unapanga mbagala date mdada wa sinza ama tabata. Ukijiingiza kwa mdada wa masaki ambae anakaa kwa babake bahari iko hapo nje, utajitia karaha tu kuishi kwa kuimpress watu na kukopa kodi za nyumba benki ili uishi walau mikocheni ama upanga!
KUOA KWA WENYE PESA ni KUJIFEDHEHESHA
KUOLEWA KWA WENYE PESA ni UTUMIAJE WA FURSA
ahahhahahahha kuwa mwanaume ni kazi nayo enh!
 
unakumbuka yale maisha ......kule ilikuwa full mkimbizano.hakuna kuremba wala nini..mi nilisomaga na wadada

fulani wakawa wanajifanya High class mashauzi mengi baada ya muda mbona waliisoma namba..

na wakawa wachapakazi kuliko hata sie wengine

hizo boarding ni za siku hizi bana,,sie wa enzi zile tunaelewa
Ongezea kukimbia mchakamchaka unaamka saa kumi usiku
 
Dah hivyo jamaa alijitahidi kuvumilia kwenda kula hoterini,halafu ukimuona binti anvyong'aa barabarani utamani uende naye,unajua dada yangu wanawake na saiz wanafikiri kuwa na jins ya kike pekee umemaliza sasa kwenye kulea mtoto itakuwaje mtoto ataanza bording school kuanzi baby class mpaka chuo kikuu!

na hilo ndio kosa, kuwa mwanamke pekee sio kwamba umemaliza kila kitu kuna qualities nyingine inabidi uongeze ili ukamilike kabisa. ndio mana nasemaga uanake ni zaid ya kuwa na nyonyo na ni mbali zaidi kuliko kuwa na umbo ama sura nzuri.
 
Kwani wewe hukufindishwa matusi ukiwa praimare boarding?

Dada huoni kama hapo issue ni malezi? Kwa hiyo hata kama wangesoma day hadi chuo kikuu, kama mama anaona mahausigelo wawili alionao na gardener wanatosha kumtumikia, hao watoto hata kuoga wangeshindwa. Tuongelee malezi. Kuna siku mtu alilalamika kukataliwa na wazazi wa mwanaume asiolewe akapewa jibu very harsh 'hamjajuaga wa level zenu'?. Yaani mie mtoto wa Mtambuzi, niende kujifolisha ini lavu na mtoto wa jk! Si ni kuitia stress tu familia yangu jamani? Hata siku ukiwaita kwako wakakope kununua dinner outfits!


Kama unapanga mbagala date mdada wa sinza ama tabata. Ukijiingiza kwa mdada wa masaki ambae anakaa kwa babake bahari iko hapo nje, utajitia karaha tu kuishi kwa kuimpress watu na kukopa kodi za nyumba benki ili uishi walau mikocheni ama upanga!

mie nasemaga levo ya maisha ina mata zaid kwenye mahusiano.
wewe kama wa moja basi ujue mbili si riziki yako........... tooop!

off the record hivi mama anaruhusiwa kumkuhadia mwanae??
 
KUOA KWA WENYE PESA ni KUJIFEDHEHESHA
KUOLEWA KWA WENYE PESA ni UTUMIAJE WA FURSA
ahahhahahahha kuwa mwanaume ni kazi nayo enh!

hivi nauliza jamani ahha!!!!!!!!
sijui ni bhange za utotoni zinarudi ama sijui ni safari nlizopewaga nikiwa kichanga..............
kwani dushe ikisimama kama mtt ni wa tajiri haimwagi manii??
 
mmh..mi nakataa kabisa hoja yako..inategemea shule gani ya boarding amesoma,au hujui kuna kayumba na international boarding school..mi nimesoma boarding toka darasa la 4 hadi sasa,but i dare say naweza vitu vingi kuliko ata ao day scholars..huwezi kufananisha mtoto alietoka weruweru girls na wa feza girls two different people
wa feza anakuaje na wa weruweru anakuaje,explain yourself.
 
ww unaongelea boarding ambazo ulisoma miaka ya <2005 sasa boarding hizi za >2005 ni majanga matupu. na hata wale watt waliosoma primary boarding miaka hiyo nao pia wali lack skills hasa za house works. mie nilisoma boarding toka form 1-6 lkn enzi zile weruweru ilikuwa weruweru kweli manake tulikuwa tunaosha hadi migongo ya ng'ombe. chezeya kilimo wewe...................
hapo kwenye red nimecheka mpaka basi, hizo boarding mpaka leo zipo sema ndo hivo zinaonekana hazina maana. mzazi akimpeleka mwanae feza, st maria etc ndo anadhan anamjali kumbe anaharibu.., nenda nsumba, sengerema sec, ifunda, tosa uone kama vijana hawapigi kazi za kijamii..., wazazi ndo wanaharibu watoto wao..period
 
ni wazazi wachache sana ambao watoto wakirudi likizo huwa na muda wa kuwafunza house works. wengi wa wazazi hasa wa kileo huwa bize na kazi na hivi ukizingatia maisha yako kimjini zaidi, kwasababu mtu hata bustani huna, uwanja wa kufagia hakuna, nyumba ya kudeki ndo hvy kuna house girl wewe unategema huyu mtoto kazi atajifunzia wapi??

kama umeweza of which najua uliweza ni kwasababu ulidevote sana na hukuona uvivu kwenye kumfunza kazi.
mama wa hivyo, hata kama mwanaye atakuwa day school pia hataweza kumfundisha kazi za nyumbani, bottom line, tusisingizie boarding school
 
na malezi pia yanachangia.......we si unaona binti ako alivyo active lakin kama
angekuwa anarudi home na wewe u care less about her ukiwa na housegel ye
ndo afanye kila kitu matokeo yake ni nini.....

My dada kumbe you have a big girl..Congrats,,Ur such a SUPER WOMAN
Thanx my dear...
ndo maana nimesema kuwa ni malezi tu, siyo swala la kusoma boarding school.
wakati nakua, kwetu kulikuwa na housegirl, mama yangu aliweka clear kuwa dada anatusaidia tunapokuwa shule na yeye job, tunaporudi ni zamu yetu kufanya kazi.
Zamu za misosi ya usiku ni sisi wanafunzi, dada haingii usiku kupika.
nimeamua kufanya the same kwa my daughter maana naona ilinisaidia sana. kazi zake za ndani anazijua na anazipenda sana. lalamiko tulilonalo tu ni kwamba anapokuwa nyumbani mjue maumivu ya mahanjumati. budget yenu ya miezi 3 anapokuwa shule huwa inatumiaka mwezi mmoja anapokuwa home.
 
Yani ndio maana nasema i miss those days..
i miss being the one choosing menu iwe vipi lol
And fixed point,honestly hayo ya 6* 6 sio shule imefanya ni mtu binafsi.
And by the way,mi nlianza std 2 only 7years tena mbali kabisa
i love your spirit
ha haaa, mambo ya kuchagua chips kuku kila siku.... maana si ndo unamiss shule!
 
Mkwe imekuwaje mwanangu akaanza boarding school akiwa la tano. Ulimchoka kivyo?

Naongeza mahari walah
Mkwe kwani boarding schools ni jela?
I am the best mom ever!!!!!!!!!!!!!!!!!
yaani nikikupa barua ninazoandikiwaga akiwa huko boarding school utachoka.
hajawahi kuona kama tulimuonea. na sasa anahamasisha sana na wadogo zake wadai kupelekwa boarding. tunasubiri wakue kiduchu
 
Labda ninyi mlozaliwa kwenye utawala wa mzee Ben na baba Riz...Enzi za mwalimu hakukua na boarding za chekechea...kulikua na darasa la kwanza hadi la nne then middle school!

Ni kweli tupu. Lakini kiukweli yale aliyosema mleta uzi ni kweli tupu. Nakumbuka kuna mzee mmoja mtu mzima aliwahi kuniambia ndugu yangu unajua hawa mabinti zetu kazi ya kuvaa suruali tu, muda mwingi walikuwa boarding hasa hizi za St....., ni shida. Akisimulia kuwa wakati wa likizo alipokuja nyumbani bahati mbaya house girl aliumwa, ndipo mama mtu alimwambia basi binti okoa jahazi, kilichotokea anasema ilikuwa aibu, chakula kilikuwa kibichi kabisa. Ndipo akakiri pamoja na usasa wetu kuna hasara kubwa na upo uwezekano binti zetu wakatusababishia kutukanwa kwamba malezi ni sifuri!
 
Suala hapa siyo boarding school ni wazazi na angel wao. utajiri kilema huo.
 
#Majanga

Ukitaka kuona ndoa ya blue haya sasa uoe mwanamke ambaye maisha yake yote yalikuwa ni kwenye shule za boarding, chekechea boarding, primary boarding, secondary boarding, a level boarding, chuo kikuu boarding.

Yaani ndani hawajui lolote, wachafu wa mazingira ya ndani, hawajui kupika vyakula vyote na vya kwenye 6X6 kiujumla hawafai. yaani anaweza akaacha vyombo vichafu mlangoni mpaka jioni viko palepale tu halafu wavivu muda mwingi ni kusinzia tu.

hebu na wengine toeni egisipiriensi yenu.

Eh Mami uko Ndama au Cross Park? najua mkitoka kwenye mnada wa ng'ombe pale Igoma mwanza ndo mnakusanyika hapo kuanza kula mampombe.
 
ninauhakika bording unazoziongelea ni "baba riz" tym. Sio zile za ugali maharage from day one in school hadi mfunge.
 
ninauhakika bording unazoziongelea ni za sku hzi. Sio zile za ugali maharage mkbadili ni makande from day one in school hadi mfunge.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom